Kama mwenye guest hakufahamu unaona aibu ya nini 😂😂😂Nimekumbuka kipindi cha nyuma kidogo, niko na kamchepuko changu tunaelekea gesti, kufika mhudumu akatupatia chumba namba 9 pale pale nikamsikia mchepuko wangu akisema "Hicho chumba mi sikitaki kwanza feni lake bovu na kitanda kinapiga kelele" na kumwambia muhudumu atubadilishie chumba. Wallahi aibu niliona mimi na nilitoka nje sikurudi tena, japokuwa 15elfu yangu ilikuwa ishatoka. Kale kamchepuko nilikakimbia na simu nikazima na baadae nikabloki namba yake.
ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Dem anavijua vyumba vyote! Kha nilijiuliza sana kama mimi ndio nimekuja nae siku moja je ameshaingia humo mara ngapi hadi kunotice matatizo ya kila chumba?Kama mwenye guest hakufahamu unaona aibu ya nini
Khaaaa... hujaona vingine???