Huyo jamaa kilaza mimi naoa na huyo mchepuko akiona nimemchefua alambe ndimu,huwezi force ndoa kma mtu hakupendi na ndoa nyingi za hvyo hazimalizi mda chali
kwanini unamhukumu huyu dada moja kwa moja....?
Ahahahahaaaaa, nawe bado umo lol! By the way, uliyekuwa unamtafuta kipindi kile ushampata? Kama bado nahitaji nafasi hiyo niizibe mimi! (Natania).Hata mimi nisingekubali.
namhukumu coz anataka kuchachusha chakula wakat kipo mezani kwan hana njia yoyote ya kufanya hadi aseme ataua??? wooii mimi namuwahi aiseeee
mkuu ebu kuwa mkweli the so called mkeo na mchepuko ebu sema ukweli mtam ni nan?sipiki ze tulus andi wi ashemu ze devo? ukiona so kusema pm
kwahiyo ishu hapa ni kusema kuua......? embu angalia upande mwingine ....huyu mwanaume alikuwa mkweli kwa mdada kama yeye ni mchepuko.....ama yeye alionyeshwa kila dalili kuwa ni mke mtarajiwa...?
hahahha penz alijaribiw ata cha kumshaur ckion maana n balaaa
kama nakuwa huyo kaka nammaliza kwanza huyo mchepuko akafie mbele asilete kiwingu aseeee
aisee...navuta picha we ndio jamaa, sa hizi tungekuwa tunasema r.i.p mchepuko. ila uamuzi wa kuuwa sidhani kama ni sahihi.
sio sahihi ila mchepuko uko na hasira kali had anataka kuua??? kisa aolewe yeye au????
sio sahihi ila mchepuko uko na hasira kali had anataka kuua??? kisa aolewe yeye au????
Kweli nimepitwa na wakati.Nashukuru kwa kunielimisha mwenzio nilikariri kuwa Ke tu ndo wanachezewa hiyo Kali dah ni shiida!!!ah ah ah ah!..wewe hujuwi hilo?!! ngoja nikupe mfano hai, alifika kijana mmoja mtaani kwetu, mwajiriwa a wizara ya mambo ya ndani nafasi yake ya juu tu hivyo yuko vizuri, tukamkaribisha mtaani akawa akawa rafiki yangu wa karibu sana, siku moja ananipigia simu bana njoo sehem flani tuanzishe mojamoja leo weekend..mimi hayaa, tena niko hapa jirani tu, nilivoingia mtu niliyemkuta amekaa naye aliponiona tu alishtuka sana, ni kadada kamoja kanafahamika vyema kwa biashara ya kukodisha mwili, nikachuna tu nikatambulishwa pale tukaendeleza kikao, kesho yake jamaa nikamuuliza unamjua huyo dada, jamaa akasema "yeah, ni ticha mwajiriwa mpya hapo shule ya ***, ni kabinti decent sana naona nitatulia niowe sasa, mimi..."what"?!! huko ndiyo kuchezewa! Mwingine unakuta mke wa mtu anakulaghai tu, anakuchuna!
ah ah ah ah!..wewe hujuwi hilo?!! ngoja nikupe mfano hai, alifika kijana mmoja mtaani kwetu, mwajiriwa a wizara ya mambo ya ndani nafasi yake ya juu tu hivyo yuko vizuri, tukamkaribisha mtaani akawa akawa rafiki yangu wa karibu sana, siku moja ananipigia simu bana njoo sehem flani tuanzishe mojamoja leo weekend..mimi hayaa, tena niko hapa jirani tu, nilivoingia mtu niliyemkuta amekaa naye aliponiona tu alishtuka sana, ni kadada kamoja kanafahamika vyema kwa biashara ya kukodisha mwili, nikachuna tu nikatambulishwa pale tukaendeleza kikao, kesho yake jamaa nikamuuliza unamjua huyo dada, jamaa akasema "yeah, ni ticha mwajiriwa mpya hapo shule ya ***, ni kabinti decent sana naona nitatulia niowe sasa, mimi..."what"?!! huko ndiyo kuchezewa! Mwingine unakuta mke wa mtu anakulaghai tu, anakuchuna!
mchepuko amechanganyikiwa. huwezi uka force kuolewa. ndoa ni jambo la makubaliano wote inabidi mpendane kama sivyo atakuwa ana risk maisha yake.
ila dada nikuulize swali, kama wewe ndio ungekuwa mchepuko ungefanya aje?
mkuu, dini yake hairuhusu kuoa wake wengi na anadai hana mapenzi na mchepuko(alikuwa wa kuzugia)
mkuu, dini yake hairuhusu kuoa wake wengi na anadai hana mapenzi na mchepuko(alikuwa wa kuzugia)