Nadhani anaendelea vizuri, huyu ni kiongozi , angekuwa ana tatizo, tungejulishwa.Nahitaji kujua anaendeleaje kwa sasa
Una taarifa gani kumhusuNahitaji kujua anaendeleaje kwa sasa
Tutumie haki ya kuoa vizuri tutoboeNi mkwe wa Mama
Sawa sawa kabisa!Ni mkwe wa Mama