Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameweka wazi, kupitia Serikali hii chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa hakuna maiti inayozuiliwa katika vituo vyote vya afya pamoja na hospitali.
Waziri Mchengerwa amesema hayo leo Februari 02, 2026 kwenye kikao kazi na Wahariri wa Vyombo vya Habari pamoja na Waandishi wa Habari wa Redio pamoja na mitandao ya kijamii wa nchi nzima.
Soma > Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa
"Nichukue fursa hii kusema kwamba, tunapoelekea kuhitimisha siku 100 za Daktari Samia Suluhu Hassan tangu aingie madarakani, hakuna kituo wala Hospitali wanaozui maiti," amesisitiza Waziri Mchengerwa
Waziri Mchengerwa amesema hayo leo Februari 02, 2026 kwenye kikao kazi na Wahariri wa Vyombo vya Habari pamoja na Waandishi wa Habari wa Redio pamoja na mitandao ya kijamii wa nchi nzima.
Soma > Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa
"Nichukue fursa hii kusema kwamba, tunapoelekea kuhitimisha siku 100 za Daktari Samia Suluhu Hassan tangu aingie madarakani, hakuna kituo wala Hospitali wanaozui maiti," amesisitiza Waziri Mchengerwa