Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Kapendana na nani mbona sioni chembe ya mahaba hapa? au mie ndio sielewi?
soma shairi hilo gaga, sijui nani nani anamfanyaje. Mnmh, ngoja aje mwenyewe atuambie vizuri.
Kapendana na nani mbona sioni chembe ya mahaba hapa? au mie ndio sielewi?
Kapendana na nani mbona sioni chembe ya mahaba hapa? au mie ndio sielewi?
soma shairi hilo gaga, sijui nani nani anamfanyaje. Mnmh, ngoja aje mwenyewe atuambie vizuri.
Hapo nnakiri
Tabora ni wazuri
Wanyenyekevu kwa ari
hata bila ya hiyari
Angalia wakivinjari
pata shika ya hatari
Utaombea kaburi
Utumbukie kwa hiyari.
Hapo nnakiri Tabora ni wazuri
Shossi,
heshima juu kabisa mkuu. huwa nasoma tu hapa kwenye hili jukwaa mara nyingi kuliko kuchangia. Nimeisoma hii thread yako weeeee nikavumilia weeeee lakini sasa nikaona hapana ngoja angalau niseme lililo moyoni likikuudhi natanguliza kuomba radhi kaka.
wakati ule ulipoaga halafu ukarudi nilikuambia unadeka unataka ubembelezwe na wadada. Ukaniambia nilikuelewa vibaya na mimi nikaamini hivyo.
Ukweli sioni ni kwa nini utake mtu akujibu vizuri kwenye kila post yako hata kama huyo ni rafiki yako. Mimi nina watu wachache hapa marafiki zangu lakini wakinitolea macho naona ni sawa as long as they have a point, wananisaidia. The important thing siyo mtu akutukane bali akusaidie kufikiri. Binafsi namwelewa Michelle, amekuwa akinisaidia kufikiri kwa changamoto zake kwa watu wengine kwa sababu huwa hana kawaida ya kuchangia post zangu. watu wengine pia wamekuwa wakikiri hilo.
Lakini pia nimeshutushwa na pale unapohusisha tofauti za kidini katika fikra za mtu.
Shossi, you are a good man, you are civilized, please take it easy. Avoid taking other people's opinion personal, especially when they are of a different religious denomination.
Be happy brother!
Hahahahaaaaaaaaa......Kudadadadaadeki.....kweli hapa kiswahili kimetulia sana.Kama anajitongozesha siinamaana kayakubali mashairi..hiyo kauli ya kusema Mpemba blabla ni kutaka mwanaume uendelee kukaza gidamu za viatu......hang over aliyonayo ni amarula kumbe...!!!Muache tu Binti jamaa mashairi yamemwingia.
Hakuna mapenzi ndugu humu JF kuna ID za kike lakini wahusika ni wanaume hahahahaha mie nilileta tu shairi na sikujua kama litawafanya watu watafishike............lol
Ushairi si lazima uzungumzie yanayokusiwe wewe unaweza kutunga ukawakilisha jamii pana, mie nimekaa nikafikiria nikaleta shairi nilitegemea manguli wa kughani kwa tenzi na nahau wangeniuliza kwa kutumia ushairi tukajibizana ili kukuza lugha lakini kwa bahati mbaya hatukufikia lengo............
Shossi sio kwamba umemlenga mtu kweli? ni shairi tu uliamua kulitoa? if yes basi punguza jazba ndugu yangu haya mambo ya jf yasikufanye uchukulie vitu serious kiasi hiki au sio mohd!
nifundishe na mimi.
hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l
Nduguzangu mshamjua yule nilomkusudia?
Ameshindwa jizuia ameidhihirshia dunia
Kaingia ukumbuni akanya kwenye zulia
Ukuulizwa kwanini si akaanza kulia?
@ Shosti umenifurahisha sana mpenzi wangu :wink2:
Najua zaidi kichagga kuliko kiswahili,
Lakini hii Shoss kaka angu, ni ushauri tuuuu!!!
Nisamehe sina mbaya, lakini tusifanye maisha magumu kiasi hiki!!!!!
Hii mipasho hii siyo kabisa kaka angu!!!
Narudia Nisamahe kama nimekukwaza lakini natamani uwe na furaha tu.
So mipasho hizi ni tenzi jaribu kusoma maudhui ya tungo/ushairi utaniambia nilichokifanya sahihi............ sikuweza kuliweka kule kwenye lugha kwakuwa shairi linabeba ujumbe wa kirafiki na mahusiano nilitaka watu washuke mashairi! keani leo ndio mara yangu kuweka hapa mashairi?
Kwani kule watu wasingeweza kujibu?Kubali tu kwamba ulikua unawapasha watu flani flani!
Ndio nilikukusudia saga chupa unywe, naona unataka kujiingiza na wewe hata kama nimekusudia basi hazidi mtu mmoja soma hilo shairi lakini naona na wewe unatafuta sehemu ya kujiingiza siwezi kuli edit kuafiki matakwa yako I am sorry..........................
Tafadhali kaka siwezi kujiingiza sehemu isiyo saizi yangu!Kutupiana madongo sikufunzwa wala sio sawa yangu sasa naona unanilazimisha uhusika!Kweli una lako jambo!Kila la kheri na kushushuana!I'm out!
Maneno yako "Kubali tu kwamba ulikua unawapasha watu flani flani!" wala sikukushushua samahani kama wewe unahisi nimekushushua mie nao nimekupa SURE..................