Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
- Thread starter
- #121
acha kudeka shossi
Samahani bonge nyanya hakuna adekae
Kama ni kudeka wewe ndio udekae
Si unajua Bonge nyanya unavyonywa?
Kwenye kachumbari unatiwa halafu unaliwa
Kwenye mchuzi unahisa kunogesha ubwabwa
Bonge nyanya unatumika na kila mtu unafurahiwa
Unapomenywa hutulia tuli kama unakafiniwa
Hakuna adekae Bonge nyanya nakuwambia