Mchele unapogeuka pumba................

acha kudeka shossi

Samahani bonge nyanya hakuna adekae
Kama ni kudeka wewe ndio udekae
Si unajua Bonge nyanya unavyonywa?
Kwenye kachumbari unatiwa halafu unaliwa
Kwenye mchuzi unahisa kunogesha ubwabwa
Bonge nyanya unatumika na kila mtu unafurahiwa
Unapomenywa hutulia tuli kama unakafiniwa

Hakuna adekae Bonge nyanya nakuwambia
 
Samahani bonge nyanya hakuna adekae
Kama ni kudeka wewe ndio udekae
Si unajua Bonge nyanya unavyonywa?
Kwenye kachumbari unatiwa halafu unaliwa
Kwenye mchuzi unahisa kunogesha ubwabwa
Bonge nyanya unatumika na kila mtu unafurahiwa
Unapomenywa hutulia tuli kama unakafiniwa

Hakuna adekae Bonge nyanya nakuwambia

mambo ya uswahilini (kushushuana) siyawezi ila umaarufu (attention) haitafutwi kwa kudekadeka na kulalamika.
 
mambo ya uswahilini (kushushuana) siyawezi ila umaarufu (attention) haitafutwi kwa kudekadeka na kulalamika.

Bonge nyanya si mswahili anautangaza uzungu
Ameshindwa kwenye hoja haiwezi mizungu
Amerukia kutoa hukumu kama yeye ni Mungu
Bonge nyanya vipi unaikana asili ndugu???

Au unatumia mkorogo uswahili unauona gundu?
Usihamaki rafiki kiswahili chataka utundu
Ndio maana umejiingiza sasa natoboa matundu


Bonge nyanya ujikoni wanguja kumenywa
Mida ya lanchi imefika ngoja na bizari utiwe
.................................................................


Samahani sikujua kama wewe ni mzungu pori na si mswahili....... hakuna adekae kijana haya ni mashairi tu wala hayachomi na hayana mapembbe.

Shusha mistari miwili basi......:wink2:
 
user-offline.png
Dyslexia


5th March 2011 03:12 PM
#92
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 18th January 2011
Location : PRISON
Posts : 189
Thanks 33 Thanked 48 Times in 39 Posts

Rep Power : 21




Did you find this post helpful? |
icon1.png
Re: Mchele unapogeuka pumba................


quote_icon.png
Originally Posted by roselyne1
nyie huyu MS atakuwa mpemba kalegeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaa mnh kila saa anataka abembelezwe tu akikosa wa kumbembeleza atajiliza?! mnh man up unatia aibu!
A%20S%2013.gif
A%20S%2013.gif




quote_icon.png
Originally Posted by Mohammed Shossi
Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............



quote_icon.png
Originally Posted by Michelle
hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l



quote_icon.png
Originally Posted by Mohammed Shossi
Mimi natoa mashairi wewe unatukana ikiwa nimelegea umeshawahi kunipa nikashindwa kwani usipo changia kwenye thread yangu utapungua?



quote_icon.png
Originally Posted by Gurudumu
Shossi,

heshima juu kabisa mkuu. huwa nasoma tu hapa kwenye hili jukwaa mara nyingi kuliko kuchangia. Nimeisoma hii thread yako weeeee nikavumilia weeeee lakini sasa nikaona hapana ngoja angalau niseme lililo moyoni likikuudhi natanguliza kuomba radhi kaka.

wakati ule ulipoaga halafu ukarudi nilikuambia unadeka unataka ubembelezwe na wadada. Ukaniambia nilikuelewa vibaya na mimi nikaamini hivyo.

Ukweli sioni ni kwa nini utake mtu akujibu vizuri kwenye kila post yako hata kama huyo ni rafiki yako. Mimi nina watu wachache hapa marafiki zangu lakini wakinitolea macho naona ni sawa as long as they have a point, wananisaidia. The important thing siyo mtu akutukane bali akusaidie kufikiri. Binafsi namwelewa Michelle, amekuwa akinisaidia kufikiri kwa changamoto zake kwa watu wengine kwa sababu huwa hana kawaida ya kuchangia post zangu. watu wengine pia wamekuwa wakikiri hilo.

Lakini pia nimeshutushwa na pale unapohusisha tofauti za kidini katika fikra za mtu.

Shossi, you are a good man, you are civilized, please take it easy. Avoid taking other people's opinion personal, especially when they are of a different religious denomination.

Be happy brother!




hakuna la ziada. message delivered as intended!




Sawa dada yangu Michelle nimekusikia................... I can read between the lines its you with another ID............

Your intelligence is my common sense.
 
Sawa dada yangu Michelle nimekusikia................... I can read between the lines its you with another ID............

Your intelligence is my common sense.

Bado tuuuu Shossi nini lakini wewe?? Pole sana achana na mambo ya keyboard haya yatakuhangaisha bureeeeeeeee
 
Bado tuuuu Shossi nini lakini wewe?? Pole sana achana na mambo ya keyboard haya yatakuhangaisha bureeeeeeeee

Yaani mtu anatumia ID yake nyingine watu wengine bwana anyway nakusikiliza wewe mpenzi shukran for your concern.............
 
Back
Top Bottom