Humu watu wanasuta kama waziri Jaffo vile,jamaa asije akazimia huki aliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni white maria ila kwenye hilo la macho anajua mwenyewe.Kama unamjua nje ya hiyo picha ndio utueleweshe sasa Mtani ili tujue hajichubui na hata hilo la kurembua pia.
Nilikitazama wa stendi huyo ni jamaa yetu wa kitaa kimoja Butimba tunamjua ni white maria ila harembuagi machoKama umitaka tafuta kipindi chao cha jana tizama alivyokuwa leta mrejesho hapa
Jua siku hizi halimchomi sana😝😝Hii picha ya zamani alipoanza hayo mambo wee mtizame kwa sasa utagundua
Kweli, lakini jamaa sio michezo yake na ule upara hata kama anapitishia kitaulo ni kidogo sana.Ooh. Sawa.
Ila nikwambie Mtani anayejichubua hata kwa picha tu anaonekana.
Duh 😂😂😂 kamsaidie kuziba mkuuNa zikipasuka huwa tunazibia msumari
😂😂😂😂😂😂Sharobaro wa kihaya ni Mwanaume wa Dar kanda ya ziwa!
Asije akarembua zaidi mpaka akapoteza washeriNdio maana anajiita sharobaro
Kafegi kabange umeelewekaBiashara matangazo
Toooba!!!Mwambie aache kujipaka karolite ya mkewe