Hahhah Ila mkuu cha ajabu ambacho sikielewi kuhusu wanawake,naona mpk kuna wanawake wenye vyeo na ni wasomi wanajichubua mawaziri,makatibu huko wizarani,wakurugenzi etc.
Sasa hapo hua sielewi tofauti ya aliyesoma vs asiyesoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mumeamua kunianika humu si mnifate munieleze au munipigie kuliko kunianika humu jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani unaniaibisha sasa, hapo kwenye picha anaonekana kajichuna?
Au tunachangia tu ili mradi?
.
Tatizo la hiyo picha ni kulegeza kwake macho tu na uskute ndivyo alivyo, mtazame Swicha baba (Quick racka) ana macho mazuri kuliko Irene Uwoya ukibahatika kumuona hajavaa miwani njoo ulete ushuhuda useme anajirembulisha au ndo alivyo
Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba