Mchekeshaji bora Tanzania kwa sasa

Kwenye stand up comedy Joti hana mpinzani
Mfano mzuri,ona alivyokuwa anaenda kutoa ile tuzo ya Kili sijui mwezi wa ngapi ule..yaani usipocheka pale huna bandama.
Hizo nyingine wapowapo,mimi Kuna wale ambao hawajiiti maconedian,ndo wananichekesha,Mfano akina Kimbembe,
Thea character aliyocheza kwenye jeraha,
Msungu namna alivyokuwa anadeal na ndugu zake kwenye fungu langu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye stand up comedy Joti hana mpinzani
Mfano mzuri,ona alivyokuwa anaenda kutoa ile tuzo ya Kili sijui mwezi wa ngapi ule..yaani usipocheka pale huna bandama.
Hizo nyingine wapowapo,mimi Kuna wale ambao hawajiiti maconedian,ndo wananichekesha,Mfano akina Kimbembe,
Thea character aliyocheza kwenye jeraha,
Msungu namna alivyokuwa anadeal na ndugu zake kwenye fungu langu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Joti na stand up comedy wapi na wapi?
 
Tabia ya kusiliba vya nyumbani haipendezi na wala sio ujanja.

Mnasema bongomovie waongo mko busy na wahindi,comics na scifi za wazungu.

Mnasiliba maigizo ya akina tiny mko busy na drama za kikorea.

Mnasema comedian wa bongo hawachekeshi kisa hawaongei kiingereza kama akina trevo noah.huu ni ulimbukeni wala sio dalili ya kuchanuka.
Mbona Kenya wanatumia Kiswahili kibovu lakini utacheka Hadi upagawe... Mtu kama pastor Kuria au Sami kioko unakuta wanatoa maneno ambavyo hata kama umenuna lazima ucheke Tu...
Wabongo shida Yao moja naona hawakufanyi Bali wanakulazimisha ucheke ni mara chache Sana wanajitahidi.... Walau ubunifu wa Ze Comedy Show ulibamba sana
 
Mbona Kenya wanatumia Kiswahili kibovu lakini utacheka Hadi upagawe... Mtu kama pastor Kuria au Sami kioko unakuta wanatoa maneno ambavyo hata kama umenuna lazima ucheke Tu...
Wabongo shida Yao moja naona hawakufanyi Bali wanakulazimisha ucheke ni mara chache Sana wanajitahidi.... Walau ubunifu wa Ze Comedy Show ulibamba sana

ugonjwa ni ule ule kutokubali vya nyumbani.
 
Back
Top Bottom