screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Kujifanya mtoto ni kosa? si inategemea na character anayoigiza. Kwani kina Mr Bean hawajawahi kujifanya watoto?Anatumia energy sana mixer kujifanya mtoto
Kujifanya mtoto ni kosa? si inategemea na character anayoigiza. Kwani kina Mr Bean hawajawahi kujifanya watoto?Anatumia energy sana mixer kujifanya mtoto
Braza hata na ww una shida ya akili. Sio kila unachokipenda watu pia wakipendeUnashida akilini kila kitu sio lazima upinge sio ujanja ni ushamba tu
Na ww umekosa tunguli tu. Sio?Joti mbona simuelewagi mimi?
kwa mujibu wa mtazamo wakoHuo uchekeshaji upo out of fashion
Na ww umekosa tunguli tu. SioJoti mbona simuelewagi mimi?
Ndo nawashangaa TINY WHITE ana balaa sio la nchi hii yule mtu.Hivi humu ndani hamumjui Tiny White?
Tiny anatumia energy na lini kajifanya mtoto??? Mzee uko sawa ww?Anatumia energy sana mixer kujifanya mtoto
Kwanza lini Tinny kajifanya mtoto!! Sidhan kama ana mfaham. Unamfaham vzuri TINY WHITE LKN?? FK21Kujifanya mtoto ni kosa? si inategemea na character anayoigiza. Kwani kina Mr Bean hawajawahi kujifanya watoto?
Yule wala haangaiki kubadili sauti, wala kuvaa misuli wala mabwanga, yuko kawaida na anachekeshaNdo nawashangaa TINY WHITE ana balaa sio la nchi hii yule mtu.
Labda atukumbushe, mimi pia sikumbukiTiny anatumia energy na lini kajifanya mtoto??? Mzee uko sawa ww?
180000 niliwapa shukrani kijiwe😂Kwamba pikipiki nmeuza laki 2
Au kamfananisha😂Tiny anatumia energy na lini kajifanya mtoto??? Mzee uko sawa ww?
Joti na stand up comedy wapi na wapi?Kwenye stand up comedy Joti hana mpinzani
Mfano mzuri,ona alivyokuwa anaenda kutoa ile tuzo ya Kili sijui mwezi wa ngapi ule..yaani usipocheka pale huna bandama.
Hizo nyingine wapowapo,mimi Kuna wale ambao hawajiiti maconedian,ndo wananichekesha,Mfano akina Kimbembe,
Thea character aliyocheza kwenye jeraha,
Msungu namna alivyokuwa anadeal na ndugu zake kwenye fungu langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Kenya wanatumia Kiswahili kibovu lakini utacheka Hadi upagawe... Mtu kama pastor Kuria au Sami kioko unakuta wanatoa maneno ambavyo hata kama umenuna lazima ucheke Tu...Tabia ya kusiliba vya nyumbani haipendezi na wala sio ujanja.
Mnasema bongomovie waongo mko busy na wahindi,comics na scifi za wazungu.
Mnasiliba maigizo ya akina tiny mko busy na drama za kikorea.
Mnasema comedian wa bongo hawachekeshi kisa hawaongei kiingereza kama akina trevo noah.huu ni ulimbukeni wala sio dalili ya kuchanuka.
Mbona Kenya wanatumia Kiswahili kibovu lakini utacheka Hadi upagawe... Mtu kama pastor Kuria au Sami kioko unakuta wanatoa maneno ambavyo hata kama umenuna lazima ucheke Tu...
Wabongo shida Yao moja naona hawakufanyi Bali wanakulazimisha ucheke ni mara chache Sana wanajitahidi.... Walau ubunifu wa Ze Comedy Show ulibamba sana