Mchango wa William Ngeleja katika sekta ya madini

Mchango wa William Ngeleja katika sekta ya madini

Hivi ujinga huu wa kuwatetea wahujumu mnautoa wapi? Hivi kweli mwanaume mzima na suruali yako unakuja hapa kumsifia Ngeleja? Labda kama wewe ni mtoto wa kike. Kama maisha ya mjini yamewashinda rudini vijijini ardhi bado ipo ya kutosha.
Hoja hujibiwa kwa hoja na sio porojo, Ngeleja ni Mzalendo na Mpigania haki za wanyonge.
 
umesahau na hii..Ngeleja anamiliki apartment yenye thamani ya USD milioni saba..chanzo chake cha mapato hakijulikani
Tuna Zungumzia sekta ya Madini, Ngeleja has performed we'll, hio apartment yako inahusiana mini na Mada.
 
Hayo unayosema nadhani ilikuwa ndani ya job description yake
Wabongo tumezoea fadhila tu. Ndio maana tunatakiwa tuanze na mfumo wa kulipa mshahara kwa masaa. Watu watafanya kazi zao. Huyu mh alikuwa mwajiriwa wa vodacom kama head of legal au co. Secretary. Unajua hakuna jitihada zozote alizofanya ili.wateja tusinyonywe huo ubunifu kaupata nishati na madini tuu. TAFAKARI acha campaign hazitambeba. JPM haendi na ukabila wala undugu
Thanks kwa Kukubali utendaji wake.
 
Wewe uliyeleta thread hii hujui hata kuchambua mambo usitufanye sisi Watanzania ni mazuzu nani asiyemjua Ngeleja ambaye alitajwa kuhususika na fedha za ESCROW na Ngeleja huyu huyu alipokuwa pale Wizara ya Nishati na Madini alipiga ma deal ya mafuta na alikuwa akihongwa kila kukicha na Makampuni ya Madini acheni uzushi eti Prof. Muhongo ni mtu wa propaganda. Prof. ni mtu wa kazi na hata siku moja hajawahi kuomba fedha katika Makampuni ta madini, TANESCO, TPDC kama alivyokuwa Ngeleja.

Kama mwandishi wa thread hii si Ngeleja mwenyewe basi ni ile team aliyokuwa akishirikiana nao Ngeleja mwenyewe pale Wizara ya Nishati na Madini katika Ma deal ambayo timu hiyo kwa sasa imetimuliwa na Prof. Muhongo kutokana na wizi na ma deal wanayofanya na makampuni za mafuta ambazo huziuzia TANESCO mafuta sasa hivi wamebanwa na Muhongoi!!!
acheni majungu mkiona mtu mchapa kazi na amewabana mtazushia.
 
Mzee wa megawati.........aliziahidi kibao na kudeliver sifuri na msemo wake "mgao wa umeme kuwa historia"
 
Hilo jina na mgao wa umeme ni kitu hicho hicho.
 
Back
Top Bottom