Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Hongereni kwa ujenzi wa taifa.
Leo hapa kata ya Mshangano Songea afisa mtendaji ametangaza ushuru wa magenge ya mitaani shilingi elfu moja kwa siku. Yaani kwa mfano wewe hapo nyumbani kwako uweke genge dogo la kuuzia nyanya,mbogamboga, vitunguu nk ili kurahisishia majirani wasifunge safari ndefu kufuata vitu hivyo sokoni. Sasa mtu anajishughulisha kutafuta riziki unakuja na ushuru wa shilingi 1000 kwa siku sawa na 30,000 kwa mwezi. Je hii si sawa jamani kama sio uonevu?!Tunaomba mkurugenzi afuatilie wananchi mbona tutapata tabu sana kwa nini lakini!?
Leo hapa kata ya Mshangano Songea afisa mtendaji ametangaza ushuru wa magenge ya mitaani shilingi elfu moja kwa siku. Yaani kwa mfano wewe hapo nyumbani kwako uweke genge dogo la kuuzia nyanya,mbogamboga, vitunguu nk ili kurahisishia majirani wasifunge safari ndefu kufuata vitu hivyo sokoni. Sasa mtu anajishughulisha kutafuta riziki unakuja na ushuru wa shilingi 1000 kwa siku sawa na 30,000 kwa mwezi. Je hii si sawa jamani kama sio uonevu?!Tunaomba mkurugenzi afuatilie wananchi mbona tutapata tabu sana kwa nini lakini!?