Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo

Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Amemzungumzia mwanaye anayesoma IFM kozi ya Banking and Finance.
Yule dogo ni kuishi na wanawake wa Kibada na kula bata na dogo amepigwa disco semister iliyopita ndio maana baba yake anaamini kila mtu ni Mal**ya kama mwanawe.
 
Hata wabunge wanalewa na kipindi cha bunge inasemekana wanaojiuza wanaelekea Dodoma. Je wapigakura wamewatuma hayo?
Kwahiyo tuseme wabunge wapunguziwe posho kwa tabia hizo?
Wana kamati yao ya kumuita na kumhoji mwananchi yeyote kumhoji kama wataona anawakashifu kuhusu mienendo yao mibaya
 
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Na wao wasipewe malipo wawekewe ela ya mafta na kulipiwa misosi na maradhi maana hiyo pesa inawafanya wafanye ufuksa na wanafunzi hapo dodoma
 
Amemzungumzia mwanaye anayesoma IFM kozi ya Banking and Finance.
Yule dogo ni kuishi na wanawake wa Kibada na kula bata na dogo amepigwa disco semister iliyopita ndio maana baba yake anaamini kila mtu ni Mal**ya kama mwanawe.
Kumbe yamemfika. Ameshindwa kufikiria kama binadamu wote hawafanani
 
Amemzungumzia mwanaye anayesoma IFM kozi ya Banking and Finance.
Yule dogo ni kuishi na wanawake wa Kibada na kula bata na dogo amepigwa disco semister iliyopita ndio maana baba yake anaamini kila mtu ni Mal**ya kama mwanawe.
Mzee mwenyewe yuko hivi hivi yaani akili yake kisoda inaamini akimwambia mdada mi ni mbunge basi amemla umbwa yule aliniambiaga yaani wewe ni mshamba unamkataa mbunge😃😃
 
Mzee ni mjinga, mpumbavu tu, hana busara wala hekima niulize mimi ntakusimlia. Ukikaa naye dk 10 nyingi kuujua uelewa wake pamoja na shule yake
 

Attachments

  • IMG-20240508-WA0002.jpg
    IMG-20240508-WA0002.jpg
    23.5 KB · Views: 1
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Kama huwa anakutana nao ktk viunga vya starehe kama na watu wengine wanavyokutana nao lakini hawana pa kusemea basi vijana wapewe semina kama wanavyopewa wastaafu wanapokaribia kupata mafao juu ya matumizi mazuri ya mkopo.
 
Back
Top Bottom