Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Nimevutiwa na post ya Asubuhi hii ya FirstLady1 na wachangiaji wake. Nikagundua kumbe JF ina wadau walio serious na Mungu wao. Sasa mimi nina shida kiasi na ninahitaji mchango wenu juu ya hili:
Nina rafiki yangu (na ni rafiki tu) wa kike. Muda mfupi kiasi alikuwa ana tabia fulani zisizopendeza. ametembea na waume wa watu, vijana umri mkubwa (almost twice her age), alikuwa anakunywa, anasmoke, clubing and stuff!
but sasa hivi amebadilika na juzi tulianza a new strategy ya kusoma Biblia on a daily basis. So, kwa kuanza tunasoma Kitabu cha Mithali! Tunasoma one chapter everyday. As in kama ni tarehe moja tunasoma Mithali 1, hivyo hivyo na kuendelea. Juzi (tarehe 6) tumesoma Mithali 6. Alipofika mistari ya 29-35 akaanza kulia kwani iliongea kabisa about what she has been doing. Ndiyo amebadilika but she still feels like she has the wrath of God upon her.
je, ni mistari gani ya Biblia ninaweza kumpa ya kumuencourage?
Natanguliza shukrani.
Nina rafiki yangu (na ni rafiki tu) wa kike. Muda mfupi kiasi alikuwa ana tabia fulani zisizopendeza. ametembea na waume wa watu, vijana umri mkubwa (almost twice her age), alikuwa anakunywa, anasmoke, clubing and stuff!
but sasa hivi amebadilika na juzi tulianza a new strategy ya kusoma Biblia on a daily basis. So, kwa kuanza tunasoma Kitabu cha Mithali! Tunasoma one chapter everyday. As in kama ni tarehe moja tunasoma Mithali 1, hivyo hivyo na kuendelea. Juzi (tarehe 6) tumesoma Mithali 6. Alipofika mistari ya 29-35 akaanza kulia kwani iliongea kabisa about what she has been doing. Ndiyo amebadilika but she still feels like she has the wrath of God upon her.
je, ni mistari gani ya Biblia ninaweza kumpa ya kumuencourage?
Natanguliza shukrani.