Mchango wa Dini katika ustawi wa maisha ya Binadamu

Ulichokisema ni unaelekea kuthibitisha na sio kwamba umesema "umethibitisha" ila bado hujathibitisha hiyo ni ahadi

Ukisema unaelekea kuthibitisha ina maana hapo unazungumzia kwa muda ujao utakua tayari umethibitisha this means by this moment your have not yet provided the proof

Nataka uweke wazi huo uthibitisho ambao umedai unaelekea kuuthibitisha tuusubiri kwa muda gani utakua tayari?
 
Swali kua wazi inategemeana na perspective yako kwa namna ulivyoliwasilisha au kujifunza huko kwingine na sio wote wanalielewa. Sasa unapoulizwa maswali dhidi ya hicho ulichodai kukielewa halafu ukashindwa kuyajibu unakua unatupa wasiwasi kwamba unaongea vitu ambavyo huvijui

Kwanini swali lako lijikite zaidi kudai majibu yaliyo katika mfumo wa imani?

Kwanini umsetie mtu aina fulani ya majibu?
 
Hivi unajisikiaje unapo rudia jambo ambalo nimelitolea ufafanuzi ? Ndiyo maana hauko makini.

Sasa rejea kile nilichokiandika, sababu nilikupa muongozo tayari.
 
Hapo nili messed-up lakini bado nipo katika angle hiyo hiyo kwasababu hoja yangu sio hivyo vitu bali keyword ya swali lako (imani)

Kwanini majibu ya swali hilo umeyalengesha kwenye imani?
 
Hauko seriou naona hauko kimjadala unaleta ubishi wa kijinga.

Ukiwa na hoja nistue.
 
Hapo nili messed-up lakini bado nipo katika angle hiyo hiyo kwasababu hoja yangu sio hivyo vitu bali keyword ya swali lako (imani)

Kwanini majibu ya swali hilo umeyalengesha kwenye imani?
Kwanini unakuwa mjinga namna hii, unakosea na unakiri kosa lakini bado unakosea tena.

Nataka uje na hoja, ukija na hoja unistue na uje na majibu ya maswali niliyo kuuliza. Hasa la kutoa ile mifano niliyo kupa katika lile swali nililo muuliza muulizwaji.

Nipo....
 
Hivi unajisikiaje unapo rudia jambo ambalo nimelitolea ufafanuzi ? Ndiyo maana hauko makini.

Sasa rejea kile nilichokiandika, sababu nilikupa muongozo tayari.
Kwasababu nataka nifafanue zaidi kwamba hujaweka uthibitisho na hatuna uhakika na jitihada zako za kuelekea kuthibitisha kama zitazaa matunda

Thibitisha
 
Hauko seriou naona hauko kimjadala unaleta ubishi wa kijinga.

Ukiwa na hoja nistue.
Mimi siwezi kujua kama wewe unavyojua bila kuhoji kwa kuuliza maswali.

Haya tayri nishakustua ebu jibu hoja hii

Kwanini swali lako lijikite zaidi kudai majibu yaliyo katika mfumo wa imani?

Kwanini umsetie mtu aina fulani ya majibu?
 
Nimecheka sana. Thibitisha hili.

Unaamini nini kuhusu maisha na chanzo cha ulimwengu ?
Mimi nimezaliwa na nimezalisha Sasa kuniambia sijui Kuna roho imetoa uhai wakati tulifanya tendo la ndoa ni kujitoa ufahamu
 
Utaijuaje dini iliyo sahihi? Na imesaidiaje watu wa dini hiyo ukilinganisha na hizo dini nyingine?
Najiuliza siku ya mwisho kama dini zinavyosema yehova na Allah watagombania watu kupeleka motoni au
 
Tuondokane na dhana ya dini kuwa ni matendo maalumu ya kiibada na dua.

Na badala yake tuirejeshe dhana ya dini ile ya asili kwa maana ya KUTENDEA WATU WEMA (IHSANI).
 

Kuna wakati dini zinatuchnganisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…