MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Michango yote kwangu, hakuna haja ya kutuma kwa akaunti, mimi nitapita nyumba kwa nyumba katika kila mkoa, wilaya, kata, kijiji na kitongoji chochote TZ kukusanyaga hiyo mihela na kuitia katika likapu langu amabalo halijai. Mkumbuke kuwa mimi na DA damdam; ni "watoto wa Shangazi na Mjomba wa Baba Mkubwa Kaka yake Babu na Baba Mdogo wangu, ambapo mimi nikiwa Mjukuu wa babu yangu na yeye Kilembwe kwa upande wa bibi wa Mkwe wake mumewe na shemeji wa binamu yetu".NINAKUMC WEWE!][/COLOR]naunga mkono
mi ntatoa laki moja ..
nani anakusanya ???