Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Ndugu wana jf kwa kutumia hile teknolojia ya kubaini cheaters aliyotuletea mdau mwenzetu nimeweza kuitumia kwa nyongeza ya ziada na hivyo kubaini kuwa Dena Amsi anatumia simu kuingilia jamvini hali inayompa taabu sana kubofya batani ndogo za simu, katika kufuatilia kulikoni anatumia simu nikabaini kuwa kompyuta yake kamuachia mtu muhimu sana kwake!
Ili tusimkose jamvini endapo itatokea kuchoshwa na kubofya batani za simu, nimeanzisha mchango kwa kiasi cha shilling hamsini elfu kianzio nikitaraji wadau mtaniunga mkono katika kumnunulia kompyuta nyingine. Sina shaka zoezi litakwenda haraka hasa kwa wachumba na washenga zake mtafanya fasta (Dena tuelekeze michango tumkabidhi nani ila usitaje akaunti zako kuna wachakachauaji!)
Ili tusimkose jamvini endapo itatokea kuchoshwa na kubofya batani za simu, nimeanzisha mchango kwa kiasi cha shilling hamsini elfu kianzio nikitaraji wadau mtaniunga mkono katika kumnunulia kompyuta nyingine. Sina shaka zoezi litakwenda haraka hasa kwa wachumba na washenga zake mtafanya fasta (Dena tuelekeze michango tumkabidhi nani ila usitaje akaunti zako kuna wachakachauaji!)