ChekoFagia
Senior Member
- Sep 20, 2025
- 115
- 339
Mwenyekiti wa Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), Mchange Habibu Mchange amedai kuwa sababu ya watu kufariki Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata ni wao kuchochewa na baadhi ya wanaharakati walio nje ya nchi.
Mchange ameyasema hayo siku ya Jumatano tarehe 17 Desemba 2025 akizungumza na wanahabari mkoani Dar es Salaam kuhusu barua alizowasilisha katika Ubalozi wa Marekani na Kenya, zinazohusu Watanzania wanaodaiwa kuhamasisha vurugu mitandaoni wakiwa ndani ya nchi hizo.
Mchange amesema kama haki inatafutwa kutokana na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 basi watuhumiwa ni wale walioua na wale waliochochochea mitandaoni vurugu hizo.
Mchange ameyasema hayo siku ya Jumatano tarehe 17 Desemba 2025 akizungumza na wanahabari mkoani Dar es Salaam kuhusu barua alizowasilisha katika Ubalozi wa Marekani na Kenya, zinazohusu Watanzania wanaodaiwa kuhamasisha vurugu mitandaoni wakiwa ndani ya nchi hizo.
Mchange amesema kama haki inatafutwa kutokana na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 basi watuhumiwa ni wale walioua na wale waliochochochea mitandaoni vurugu hizo.