Mchanganuo wa sitting allowance kwa Bunge zima kwa miaka 5

Zinaweza kupungua kama kanuni hizi zitapita!

1. Posho zitolewe baada ya kikao/shughuli za bunge kwa siku husika kuisha

2. Mbunge akitolewa nje kwa kuzomea, kupiga kelele au kukaidi amri ya Spika hatoruhusiwa
kukaa/kusogelea maeneo ya bunge (yale yale ya mita 200)

3. Mbunge atakayetolewa nje hatalipwa posho ya kikao husika

4. Mbunge akitolewa nje azuiwe kuhudhuria kikao kinachofuatia (Nani akose posho mara x2)!

5. Ikifanyika hivyo mara 3 kwa mbunge kwa mkutano mmoja wa bunge, Mbunge atazuiwa kuhudhuria vikao
vyote vilivyo salia vya mkutano husika!

6 Mbunge atakaye zuiwa kuhudhuria vikao vilivyo salia atatangwa bungeni ili asipooneka Jimboni
kwake, wananchi wajue huyo kabaki Chako ni Chako anatafuna filigisi!

Hizo kanuni nazo sio rafiki kwa watanzania maskini.
Hakuna sababu ya kumlipa mbunge Posho ya kikao Wakati yupo pale kutumiza majukumu yake aliyopewa na wananchi. Mshahara wa mwisho wa mwezi ndio stairi yake Kama mtumishi wa Umma.
 
Endelea kupima kwa Siasa zakujitafutia umaarufu usio na tina kwa Taifa.

Swala la Posho wengi mnaingizwa Mkenge na hamtambui wanachofanya akina @Zito.

Na Kamwe hakuna posho ya Mbunge itakayoondolewa! Hata JPM mwenyewe anajua mtego ulipo nyie endeleeni kukaririshwa na wapenda siasa nyepesi zakutegemea uelewa mdogo wa Watanzania kuchanganua mambo.

hamy-@D! Angalao umeweka mjadala Vizuri.
Mabadiliko yanaanza na wewe.

Magufuli angekuwa anawaza kama wewe angejaribu kufanya hata haya aliyofanya ili kubana matumizi ya serikali?

Star tv walivyotangaza hii taarifa nao wamekosea?!

Hii nchi na watu wake ni ngumu sana na tutabaki hivi hivi milele!1
 
Last edited by a moderator:
Tendering boards kwenye mashirika ya umma uwa na wajumbu kuanzia 10 - 15 na kila mjumbe anachota 300,000 kwenye kila meeting. Wastani wa vikao ni kuanzia 70 - 100 kwa mwaka. Idadi ya mashirika ya umma ni 230 nchi nzima.

Nimeweka hii hapa ili kuwapa challenge kuwa sio eneo moja tu muangazie....yapo maeneo mengi pesa zinapigwa na ieleweke kuwa tendering board ni moja tu ya vikao...kuna vingine inategemea na kazi za shirika. Mfano mifuko ya kijamii wanavyo vikao vya investment committee nk

Kufutwa kwa sasari za nje ni remarkable action kusema ukweli...maana baadhi ya hivi vikao vilikuwa vikifanyika Dubai huko

Mkuu mwambie na posho za wabunge zifutwe wabaki na per diem zao tu. Si haki kufuta posho za vikao kwa wafanyakazi wengine na kuacha wabunge wakiendelea kulipwa. Nao wafutiwe hatutaki double standard
 
Zinaweza kupungua kama kanuni hizi zitapita!

1. Posho zitolewe baada ya kikao/shughuli za bunge kwa siku husika kuisha

2. Mbunge akitolewa nje kwa kuzomea, kupiga kelele au kukaidi amri ya Spika hatoruhusiwa
kukaa/kusogelea maeneo ya bunge (yale yale ya mita 200)

3. Mbunge atakayetolewa nje hatalipwa posho ya kikao husika

4. Mbunge akitolewa nje azuiwe kuhudhuria kikao kinachofuatia (Nani akose posho mara x2)!

5. Ikifanyika hivyo mara 3 kwa mbunge kwa mkutano mmoja wa bunge, Mbunge atazuiwa kuhudhuria vikao
vyote vilivyo salia vya mkutano husika!

6 Mbunge atakaye zuiwa kuhudhuria vikao vilivyo salia atatangwa bungeni ili asipooneka Jimboni
kwake, wananchi wajue huyo kabaki Chako ni Chako anatafuna filigisi!

Unajua unachokiandika?
 
Nilitegemea ukawa /chadema wangetusaidia kukataa posho ila wao ndio vinara wa kutafuna posho.
 
Yaani akili kama hizi bure kabisa. Kama jambo sio sahii kwa wabunge wote kwanini ufanye-disaggregation? Ikumbukwe kila mtu anahitaji hela sasa kama unazi uliopo bungeni hauwezi kupelekea kufutwa kwa posho, given the fact that ccm ndio majority, unataka Ukawa wasusie hafu ccm waendelee kutumbua kodi zinazolipwa na wananchi wote wakiwemo wanaukawa wenyewe?

Wahimizwe kufutwa kwa utaratibu mzima bila kujali itikadi za vyama. Kibaya zaidi, wenye uwezo wa kuondoa ama kupunguza ni wabunge wenyewe. Hakuna mamlaka nyingine inayoweza kufuta posho za wabunge. Litawezekana tu kama wananchi watatoa msukumo wa kuwataka wabunge wafutiwe posho.

Mhe. Kingu hajakataa posho tafadhali ila anataka Ofisi ya Bunbge imsaidie namna ya kuitumia


Nilitegemea ukawa /chadema wangetusaidia kukataa posho ila wao ndio vinara wa kutafuna posho.
 
Siongelei waliotoa habari,Nasimama kwa aliyeifanya kuwa habari,Huku ikiwa imejaa ulaghai.
We kama ni mnufaika wa hizo posho tupishe.Badala ya kuangalia hasara tunayopata kama taifa kutokana na hizi posho unahangaika kujadili trivial things!!
 
Mijadala ya kuongeza posho za wabunge, pande zote hushirikiana bila kugombana kuzipitisha, wakitoka huko kuna wanafiki wanakuja kujifanyisha wanakerwa na matumizi mabaya ya serikal
 
Sitting allowance kwa siku ni sh 200,000 kwa mbunge mmoja.

Kwa mwaka mmoja mbunge anakaa Bungeni kwa wastani wa siku 130.

Jumla ya wabunge wote wanaotarajiwa kuingia Bungeni ni wabunge 393.

Kwahiyo kwa miaka 5 Bunge zima linatumia kiasi cha fedha kifuatacho kwa ajili ya sitting allowance:

200,000 x 130 x 393 x 5 =51,090,000,000

Mchanganuo huu ni kwa mujibu wa Mbunge wa Singida Magharibi, mh.Elibariki Kingu.

Chanzo:Star tv habari

NB:Idadi ya siku kama sikumsikia vibaya amesema ni siku 180 ila kwasababu ni wasiwasi wacha niweke hiyo 130.

sahihisho kidogo tu mkuu, sitting allowence ni laki mbi na elfu ishirini
 
Zinaweza kupungua kama kanuni hizi zitapita!

1. Posho zitolewe baada ya kikao/shughuli za bunge kwa siku husika kuisha

2. Mbunge akitolewa nje kwa kuzomea, kupiga kelele au kukaidi amri ya Spika hatoruhusiwa
kukaa/kusogelea maeneo ya bunge (yale yale ya mita 200)

3. Mbunge atakayetolewa nje hatalipwa posho ya kikao husika

4. Mbunge akitolewa nje azuiwe kuhudhuria kikao kinachofuatia (Nani akose posho mara x2)!

5. Ikifanyika hivyo mara 3 kwa mbunge kwa mkutano mmoja wa bunge, Mbunge atazuiwa kuhudhuria vikao
vyote vilivyo salia vya mkutano husika!

6 Mbunge atakaye zuiwa kuhudhuria vikao vilivyo salia atatangwa bungeni ili asipooneka Jimboni
kwake, wananchi wajue huyo kabaki Chako ni Chako anatafuna filigisi!

7.wale wanaolala bungeni wasipewe posho,watangazwe ili wananchi wawajue
8.Wale wa kusema ndiyoooo kwa kila jambo wawekwe wazi na wasipewe posho
9.wale wabunge watakaoacha kazi yao ya kuisimamia serikali na wakajikita kuitetea badala ya mawaziri watajwe na wasipewe posho
10.Mbunge atakayechelewa au kutoka kabla ya muda asipewe posho
 
Zinaweza kupungua kama kanuni hizi zitapita!

1. Posho zitolewe baada ya kikao/shughuli za bunge kwa siku husika kuisha

2. Mbunge akitolewa nje kwa kuzomea, kupiga kelele au kukaidi amri ya Spika hatoruhusiwa
kukaa/kusogelea maeneo ya bunge (yale yale ya mita 200)

3. Mbunge atakayetolewa nje hatalipwa posho ya kikao husika

4. Mbunge akitolewa nje azuiwe kuhudhuria kikao kinachofuatia (Nani akose posho mara x2)!

5. Ikifanyika hivyo mara 3 kwa mbunge kwa mkutano mmoja wa bunge, Mbunge atazuiwa kuhudhuria vikao
vyote vilivyo salia vya mkutano husika!

6 Mbunge atakaye zuiwa kuhudhuria vikao vilivyo salia atatangwa bungeni ili asipooneka Jimboni
kwake, wananchi wajue huyo kabaki Chako ni Chako anatafuna filigisi!

Hakuna haja ya kuzipunguza hata kidogo. Inapaswa KUZIFUTILIA mbali kabisa.

Kila mbunge anapata Mshahara wa TShs. 3,800,000 kila mwezi, plus POSHO ya UBUNGE TShs. 8,000,000 kwa mwezi, plus POSHO ya kujikimu kilo moja na Ishirini kwa siku. Baada ya hizi, anapata tena POSHO ya Kukaa (sitting allowance) TShs. 200,000 kwa siku. Hapo bado hajapewa Mchango wa BURE wa Tshs. Milioni 45 ili kuongezea kwenye mkopo wa Milioni 45 kununua gari. Mwalimu grade A aliyekaa kazini kwa miaka zaidi ya 10 nadhani hata laki 9 kwa mwezi hafikishi. Hakuna posho ya kula chaki wala standing allowance.

Dr Magufuri anajua hii si sawa kabisa ila tu anaona aibu kuchukua hatua sasa maana amekuwa akifaidika na hizi posho haramu tangu siku ameingia bungeni (miaka 20 iliyopita)
 
Zinaweza kupungua kama kanuni hizi zitapita!

1. Posho zitolewe baada ya kikao/shughuli za bunge kwa siku husika kuisha

2. Mbunge akitolewa nje kwa kuzomea, kupiga kelele au kukaidi amri ya Spika hatoruhusiwa
kukaa/kusogelea maeneo ya bunge (yale yale ya mita 200)

3. Mbunge atakayetolewa nje hatalipwa posho ya kikao husika

4. Mbunge akitolewa nje azuiwe kuhudhuria kikao kinachofuatia (Nani akose posho mara x2)!

5. Ikifanyika hivyo mara 3 kwa mbunge kwa mkutano mmoja wa bunge, Mbunge atazuiwa kuhudhuria vikao
vyote vilivyo salia vya mkutano husika!

6 Mbunge atakaye zuiwa kuhudhuria vikao vilivyo salia atatangwa bungeni ili asipooneka Jimboni
kwake, wananchi wajue huyo kabaki Chako ni Chako anatafuna filigisi!

Huoni hapo chama tawala ndyo kitatumia hzo njia kuwaonea vyama pizani kupunguza nguvu ya upizani ungeni
 
kama huelewi kitu kwa nini usisome tu comments za wenzako?

Watanzania kwa kukariri ndio wenyewe! Huyo Mbunge hajakataa Posho bali kabadili jinsi yakuichukua kwa kuwa kaombe ielekezwe katika Miradi jimboni kwake.

Sasa hapo hakuna Tofauti na anayechukua nakuelekeza Jimboni kwake! Wanaojitangaza kama Kingu ni utapeli uliopitiliza.
 
Bilioni hamsini na moja na ushehe hivi...😀. Thats my country.✌
 
Back
Top Bottom