Mchana wa leo nime-enjoy sanaaaa...

Mchana wa leo nime-enjoy sanaaaa...

XinKumi

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
1,275
Reaction score
1,143
IMG-20131122-WA0000.jpg
Chamaki nchanga na mboga za majani kwa mbali,yummy....


"Nlikuwepo":bolt:
 
Aisee umeniharibia momentum yangu ya kapasite ya kula!Najuta kufungua huu uzi. Anyway kizuri kwako, kibaya kwa mwingine.
 
Duh kama unakula hiyo kitu mpenzi kwanzia leo sili denda lako maana utaniachia ugwadu.
 
daah! Mdau umenikumbusha mbali enzi hizo tunatafuna hiyo makitu pale NANGANGA njiani tukielekea masasi. Hata hivyo nadhani wana ladha nzuri kuliko kitu cha dog cha ndugu zangu wanyalukolo pale Ipamba!!
 
Hiki kipositi kimeniharibia taimingi ya dina kinoooomaaa aaagrrrrrr Lol!
 
Hiyo kitu jamani ni hatari tupu,ukienda namtumbo,newala,nangurukuru kote hiyo kitu inavuma.
 
Huyo chamaki nchanga bhana,kitoweo kitamu sana hiko.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Mkuu,hiyo ni ile kitu inaleta chachu ya kula.Wazungu wanaita apitaiza..

"Nlikuwepo":bolt:
 
Daaah,mkuu mbona kitu swafi tu hiyo.Hapo ni sawa na watu ambao kuna wanaokula chair fire na wale wanaoiona haramu wala haifai kuliwa.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Back
Top Bottom