pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,108
- 12,489
Kwani kuongea kitu mpaka upitie kama ww ulivyowasilisha mada na mimi nimewasilisha maoni yangu vile vile kwani mpaka yanitokee mimi ndo niseme hata yakitokea kwa jirani au kwa watu wetu wa karibu kama ww ulivyoona na kuja kuhadithia hapaUko sahh huyu atakuwa amepitia wakat mgumu sn kimalezi na hata kimahusiano anastress sn. Lakn wengi tumepitia manyanyaso lakn hatujaruhusu kuwaumiza wengine.