Mchana wa kutisha

Uko sahh huyu atakuwa amepitia wakat mgumu sn kimalezi na hata kimahusiano anastress sn. Lakn wengi tumepitia manyanyaso lakn hatujaruhusu kuwaumiza wengine.
Kwani kuongea kitu mpaka upitie kama ww ulivyowasilisha mada na mimi nimewasilisha maoni yangu vile vile kwani mpaka yanitokee mimi ndo niseme hata yakitokea kwa jirani au kwa watu wetu wa karibu kama ww ulivyoona na kuja kuhadithia hapa
 
Mwaka jana nikiwa naishi mtaa fulani nilishuhudia tukio la ajabu ambalo halikusisimua tu mwili wangu bali ulipata ganzi kwa dakika nikashindwa kuamua nini chakufanya.

Naitwa Judith nimeolewa na nimejaliwa watoto wawili wa kiume. Ndani ya geti la nyumba niliyoishi kulikuwa na eneo la wazi siku hiyo wapangaji wenzangu hawakuepo, nilikuwa ndani nafanya shughuli zangu kwa amani tele kwa sababu watoto wangu walikuwa nje wanacheza na nilikuwa nawasikia.

Baada ya kumaliza kazi yangu ndani nikatoka nje huku najinyoosha
Lahaula! Nilichokiona sio kwamba niliogopa tu lakini sikuamini macho yangu.

Kulikuwa na pikipiki iliyopakiwa pale nje na watoto wangu walipenda kuchezea wanakaa na kufanya kama wako safarini, sasa wakati natoka hawakuwa peke yao alikuwepo na mtoto wa jirani yangu mtaa wa pili uwepo wake haukunishtua mara kadhaa huwa anakuja kucheza nao, lakini tukio lililokuwa linaendelea ndio liliniacha kwenye mataa nisijue kitu sahihi cha kufanya lakini baada ya sekunde kadhaa nikaamua kujikoholesha ili mladi watambue nipo ili ule mchezo uishie hapo.

Mtoto wangu mkubwa wa miaka mitano alikuwa juu ya tenki la maji ni kawaida yake licha ya kumkanya mara kadhaa, hakuwahi kuacha kucheza pale. Alikuwa bize hajui hata kinachoendelea, shida ni kwa huyu mwenye miaka mitatu, mtoto wangu mdogo maskini alikuwa juu ya pikipiki akicheza kama dereva kwa mbwembwe nyingi na kutoa sauti kama mlio wa pikipiki.

Akiwa hana habari kabisa nyuma yake yule mtoto wa jirani alikuwa kapanda kama abiria lakini abiria huyu alikuwa na lake jambo. Jambo lililoniacha katika mshangao mkubwa. Mtoto yule alikuwa nusu uchi, maungio yake ya kiume yanatazamana na mgongo wa mtoto wangu.

Niliganda kwa sekunde kadhaa!
Wakati yeye akijikoki nyuma ya mwanangu, yeye mtoto yule wa miaka mitatu hakujua linaloendelea. Aliendelea kuendesha pikipiki yake huku anapiga makelele.

Sio siri niliogopa sana sijui hata nisimulie vipi hali niliyokuwa nayo kwa sekunde kadhaa niliganda na kulazimisha macho yangu yaangalie kwa makini huenda nilichokiona ni tofauti.

Na baada ya kujiridhisha ni kweli nikakohoa ili ashtuke na kuhailisha mashambulizi yake, nilifanikiwa aliacha na kujifanya kama hakuna kilichokuwa kinaendelea.

Tumbo la uzazi halikuishia kunicheza peke ake bali vyote vilivyokuwa tumboni vilitikisika kwa nguvu, niliishiwa nguvu na kama kuna mtu mzima angekuwepo karibu yangu ningeuruhusu mwili wangu uzimie kwa muda alafu nikishtuka niwe nimepoteza kumbukumbu za tukio lile iwe kama halikuwahi kutokea, lakini nilijizuia kwasababu nilihisi labda angefika mbali zaidi.

Na mimi sikumuonyesha kama nimeona chochote, nilichofanya nikatoka nje nikatafuta fimbo matata sana, ingawa haikuwa tabia yangu kuadhibu watoto wa watu lakini woga na hasira viliujaza moyo wangu nikaamua kufanya maamuzi.

Nikamuita kistarabu kabisa kama nataka kumtuma na sikuruhusu aone fimbo niliyoandaa nadhani angetafuta pakutokea kitambo sana na kuniachia vumbi.

Alisogea karibu yangu nilikuwa natetemeka midomo nashindwa hata nianzie wapi kumuhoji. Nilimtazama kwa dakika kadhaa nikimtafakari hakuwa mjinga tayari aligundua kuna tatizo nae hakuwa na amani kabisa.

Niliyatafakari mazingira anayoishi yule kijana mdogo mwenye umri kati ya miaka tisa hadi kumi na moja , aliishi na bibi na mama yake ambao walikuwa bize na vibarua huko mjini, waliondoka asubuhi na kurudi usiku, kwa maana hiyo huyu mtoto anajilea mwenyewe ni kama mtoto wa mtaani anazunguka kila mahali atakavyo na kujichanganya na makundi tofauti tofauti, hana uangaliazi wowote wa mzazi na anaenda shuleni atakavyo.

Baada ya kumtafakari hasira zikapungua sikuwa na nguvu za kumchapa tena nilimuonya ili ajue alichokuwa anafanya ni kosa kubwa sana.

Sikuishia hapo nikamtafuta bibi yake, sikutaka kumwambia mama yake namjua ni mkorofi ingekuwa ngumu kunielewa, nilifanikiwa kuongea na bibi yake na kitu cha kwanza nilitaka kujua kama anaifahamu hiyo michezo ya mjukuu wake. Yule bibi alinichanganya kwa sababu hakuonyesha kushtushwa hata kidogo na swali langu, lakini sikusita kumshauri namna yakumuonya mtoto kwa kumwambia ukweli wa athari, madhara na matokeo ya vitendo hivyo na kumfatilia kwa karibu mjukuu wake.

Sijui kama alifanya vyote nilivyomwambia lakini alinifurahisha baada ya kumleta ndugu yao mwingine atakaeshinda pale nyumbani ili amdhibiti huyo mtoto anapotoka shule asishinde mtaani.

Ule mtaa nilishahama lakini huwa namkumbuka yule mtoto kwa sababu namba ya bibi yake ninayo basi huwa ninamtumia ujumbe wa tahadhari asiache kumfatilia mtoto maana si rahisi huyo mtoto kuacha.

Hofu yangu kama mtoto yule akikutana na wababe zaidi yake wakaamua kumgeuza yeye sasa akawa kitoweo cha wahuni, nitajisikia vibaya akiwa kama wale wa mtandaoni tunaodai kuwapoteza kutoka katika kundi la wanaume.

Hili ni tukio la kweli kabisa unaweza kudhani ni tukio la kawaida lakini lina maana kubwa sana. Namshukuru Mungu kwa kunionyesha tukio lile ni kama aligonga kengele ya tahadhali kichwani kwangu imesaidia sana tangu hapo nimekuwa makini sana na mienendo ya watoto wangu.

Ingawa watoto wangu bado ni wadogo lakini nawaambia mara kwa mara wasiruhusu mtu yoyote kushika sehemu zao za siri na sehemu ya haja kubwa na yeyote atakae wagusa wanishtakie. Kama mama bado sina amani wakiwa mbali na uwepo wa macho yangu lakini kinachonitia moyo kila wakitoka shule au sehemu nyingine watanihadithia kila kitu wanachokumbuka wamefanya na mimi najitahidi kuwasikiliza.

Mwenyezi mungu atutie nguvu wazazi wenye watoto wa kiume. Matukio ya ulawiti yanayoripotiwa siku hizi unaweza ukakaa chini ukalia ila haisaidii kitu hata kama hauna wa kiume ombea hiki kizazi hao ndo waume wa watoto wako wa kike baadae.

Niambie mwenzangu ni mbinu gani unatumia kuwafundisha wanao kuepukana na vitendo hivyo? karibu tupeane darasa kwa ajili ya watoto wetu.
SEMA KWA AJILI YA WASIOWEZA KUSEMA!
KARIBU!
Je baba mtot wako ulimshirikisha hili ?


Mm binfsi mwaka 2015 nikiwa mitaya ya kwa kina kyagata sekei Arusha nilikuwa ktk pitapita zangu kutafuta wateja wa kununua tofali zangu katk sati zinazojengwa mtaani uko ,bas bhna nilifika mahali nimebanwa na mkojo nikasema ngoja niingie kwenye pagala nikojoe Kisha niendelee na mamb yangu ..nafika langoni pa kuingialia nawakuta watot wa wili wakike na kiume miaka kati ya mitano HV wote wamefua nguo zote wameziweka pembeni Cha kike kimelal Chini Cha kiume kipo juu anaangaika kuingiziwa lkn wapi ..nikarud nyuma chapu niwachungulie vzr aisee dogo aliangaika kuingiza lkn wapi bas akabakia juu anachezewa tu kujifanya anapeleka Moto .nilichokifanya nikafuta fimbo nzuri kbsa nikawafamia aisee aloo walikula viboko vya faster faster huku wakikimbia uku na kule kutaka kuchukua nguo zao walizo week pembeni ,nimewapiga viboko Kama za kiutu uzima wakaanza kushaa machozi na mayoe walivyoona viboko vimezidi wakakimbia nnje nikawatimu wakiwa wakakinbilia mashambani huku wanaangua vilio chapu nikachukuwa nguo nikawapelekea wazaz wao nikawarushia Chini naikawambia nimeziokota nguo za watot wenu nikasema. Niwapitishie .mpka dakik hi naona Kama naliona tukio la hao watoto wakijamianaa kwa umri ule

Pole sna kwako



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Je baba mtot wako ulimshirikisha hili ?


Mm binfsi mwaka 2015 nikiwa mitaya ya kwa kina kyagata sekei Arusha nilikuwa ktk pitapita zangu kutafuta wateja wa kununua tofali zangu katk sati zinazojengwa mtaani uko ,bas bhna nilifika mahali nimebanwa na mkojo nikasema ngoja niingie kwenye pagala nikojoe Kisha niendelee na mamb yangu ..nafika langoni pa kuingialia nawakuta watot wa wili wakike na kiume miaka kati ya mitano HV wote wamefua nguo zote wameziweka pembeni Cha kike kimelal Chini Cha kiume kipo juu anaangaika kuingiziwa lkn wapi ..nikarud nyuma chapu niwachungulie vzr aisee dogo aliangaika kuingiza lkn wapi bas akabakia juu anachezewa tu kujifanya anapeleka Moto .nilichokifanya nikafuta fimbo nzuri kbsa nikawafamia aisee aloo walikula viboko vya faster faster huku wakikimbia uku na kule kutaka kuchukua nguo zao walizo week pembeni ,nimewapiga viboko Kama za kiutu uzima wakaanza kushaa machozi na mayoe walivyoona viboko vimezidi wakakimbia nnje nikawatimu wakiwa wakakinbilia mashambani huku wanaangua vilio chapu nikachukuwa nguo nikawapelekea wazaz wao nikawarushia Chini naikawambia nimeziokota nguo za watot wenu nikasema. Niwapitishie .mpka dakik hi naona Kama naliona tukio la hao watoto wakijamianaa kwa umri ule

Pole sna kwako



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Matukio ya aina hii ni mengi sn jaman tujitahid kuwa karibu Yao.
 
Kosa kubwa ulilofanya ni kuruhusu watoto wadogo wacheze na mtoto aliyewazidi umri karibia mara mbili.Sio jambo sahihi.Ingekuwa haupo karibu ingetokea balaa lakini nataraji limekuwa funzo.
 
Ulawiiti umeshika hatamu. Kesi nyingi zinazoshughulikiwa kwenye mahakama za watoto kwa sasa ni kesi za ulawiti. Tuwe makini na watoto wetu
 
Kosa kubwa ulilofanya ni kuruhusu watoto wadogo wacheze na mtoto aliyewazidi umri karibia mara mbili.Sio jambo sahihi.Ingekuwa haupo karibu ingetokea balaa lakini nataraji limekuwa funzo.
Ni kweli nimejifunza
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Pambana na mama yako wa kambo au keo aliyekuulia mwanao au mama yako aliyeua mtoto wa kambo. hasira wapelekee wao sio kuja kubwatuka tu mtandaoni
Kwani kuongea mpaka linifike mimi au niwe nimepitia mimi what if nimeshuhudia kwa jirani akimfanyia mtoto hayo ninayo yasema acheni roho mbaya wanawake shenzi kabisa
 
Kwendeni huko elezea mada kawaida mtu akuelewe hii mambo ya kujifanya tumbo la uzazi linacheza sijui ziwa linatingisha kuna mtu katili kwenye uso wa dunia wa kumzidi mwanamke mnavyotesa watoto wa wenzenu humo majumbani kwani wao hawajazaliwa wameokotwa mnajifanya mnahuruma sana kumbe wanafiki tu shubamet
Acha kuzaa ovyo ovyo!!!!!
 
Sawa mbona wa kwenu wajeuri kushinda hao wakambo mbona hamuwafanyii hvyo chuki tu itoshe tu kusema mwanamke ni kiumbe katili kiwahi kuumbwa na mungu hao nyoka sijui simba ni kwasababu tu wanasumu ila mwanamke ni zaidi yao juzi tu hapa kuna mdada wa Uganda yule alikuwa anamchapa mwanae wa kumzaa kwenye mitandao ilizagaa ile video mi nakwambia hakuna mwanaume anayeweza kufanya vile wanaotesa housegirl ni wanawake hakuna mwanaume anatesa housegirl nyie mna roho mbaya sie tunaya ila nyie mmetuzidi mbali
Usijisahalishe mimbata na stick ulizokuwa unakula toka kwa mama yako mzazi,unless otherwise hujalelewa nae...Ila angepigwa hizo mbata mtoto wa baba yako ukoo mzima ungesema anateswa...Kuna mambo yanakuzwa Sana.
 
Nakuelewa mleta mada. Bila nguvu zake Mungu ni kazi bure. Tujitahidi ila na tuwe tukisali na kusoma vitabu vya Mungu pamoja hasa mistari yenye kukataza machukizo kama hayo mbele za Mungu
Hakika umesema vizuri.Hii Ni sawa na tulivyojifunza kwenye Zaburi 127:1-5....Bwana asipoulinda mji wakeshao wafanya kazi bure
 
Umefanya kosa kubwa sana ambalo mwanao angekulaumu mpaka kifo kama angekuwa anajitambua.
Hiyo mbuzi ilitakiwa uikamate alafu unapiga mpaka akose fahamu na sio kwa fimbo tu. Piga mateke, ngumi, vichwa unachanganya vyote pumbav. Kwa hasira zangu huyo dogo angekuwa anapumulia mashine.

Na kingine mtoto wa kiume hatakiwi kulelewa kimayai unatakiwa umfundishe ubabe, ukatili, kujilinda, kujitetea na kutawala watoto wengine tangu mdogo na atambue yeye ni mwanaume na kazi yake ni ipi hakuna kufichaficha. Na upige marufuku kwenda kucheza mbali au kuzurura mitaani hovyo kama kuku, piga marufuku marafiki asiosoma nao shule na wale unaona wana tabia zisizoeleweka. na hakikisha unajua marafiki zake wote anaocheza nao kiundani, wazazi wao na sehemu wanazoishi.

Mtoto wa kiume unatakiwa kumfundisha hakuna mtu yoyote anayetakiwa kugusa sehemu yoyote ya mwili wako hata kwa bahati mbaya na mtu yoyote akijaribu anachotakiwa kufanya sio kukataa tu na kulialia bali anatakiwa anyanyue ngumi na kupiga hiyo ndama, ngumi haitoshi chukua mawe, fimbo chochote kile na ahakikishe anaifundisha hiyo ndama kwamba mimi ndio kidume hapa!

Kesi za watoto kupigana ni kitu cha kawaida sana na ukisikia mwanao wa kiume amepiga na kuvunja mtu huko shule au mtaani nenda kamtetee na akirudi nyumbani mpongeze na umwambie wewe ndio mwanaume, wewe ndio jembe langu, wewe ndio baba la baba na leo utakula chakula unachokipenda mwambie dada aandae ndizi nyama kwa ajili ya kingi langu limetimiza wajibu wake wa kiume.

Ningeendelea ila nitajaza page nzima, lakini psychologically ndio njia pekee ya kumlinda mtoto wako wa kiume na itakayomfanya mtoto wa kiume ajue yeye ni nani na wajibu wake ni upi hapa duniani. Itamfanya ajiamini kupitiliza, kujiona bora kuliko mtu yoyote na kutawala kila mtu na hili ndio lengo hapa.

Na cha kuhudhunisha zaidi ni kwamba haya malezi niliyoyaelezea huwezi kuyakuta kwa mwanamke au mama ambaye mara nyingi utakuta anafundisha watoto wa kiume kupika na kuosha vyombo, hivyo wale wanaosema azalishwe alafu atalea mwenye basi wajiandae kupokea mlipuko mzito wa hayo mabomu. Mwanaume ndio nguzo kuu ya familia na kioo cha kujifunza kwa mtoto wa kiume. Narudia: mwanaume ndio nguzo kuu ya Familia.
 
Back
Top Bottom