Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Waungwana Salam!
Naomba kujuwa kuhusu ule mchakato wa kusaka vazi la kitaifa ktk TZ yetu, umeishia wapi? Ni muda sasa tangu lizungumziwe japo ktk media zetu. Binafsi ningependa kuona tunafika mwisho wa hili suala ili nasi tujivunie na kutoka kivyetu. Kwa yeyote mwenye kujua kinacho anijuze na kwa faida ya wengine pia.
Nawasilisha.
Naomba kujuwa kuhusu ule mchakato wa kusaka vazi la kitaifa ktk TZ yetu, umeishia wapi? Ni muda sasa tangu lizungumziwe japo ktk media zetu. Binafsi ningependa kuona tunafika mwisho wa hili suala ili nasi tujivunie na kutoka kivyetu. Kwa yeyote mwenye kujua kinacho anijuze na kwa faida ya wengine pia.
Nawasilisha.