Tetesi: Mchakato UVCCM; Mgombea Uenyekiti Mwesiga, Kangoye wakamatwa na TAKUKURU Mbeya, TAKUKURU wamgomea January Makamba

kamwe CCM hawawezi kuacha Rushwa kwa sababu hiyo ndiyo huwasaidia siku zote kuwa jukwaani kwenye maonyesho
 
Mtampuuza Lumumba!
 
January Makamba anaingiaje humo? Au anataka kupandikiza ''watu wake'' ili waanze michakato yao ya kumpromote kama mtu anayekubalika sana ndani ya Chama kwa malengo ya uRais?
 
Sasa bora yupi, yule anaetuhumiwa kudanganya umri au huyu anaegawa rushwa?
Tafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…