tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Baba anachukia rushwa wala hapendi kuisikia rushwa maishani mwake,rohoni kwake anapenda rushwa kuliko awamu zote za ccm yani ananunua madiwani,wabunge kwa budget ya serikaliBaba anahonga watoto watashindwaje
Baba la ufisadi na mwalimu mkuu wa ufisadi yuko Chadema
Rudisheni ile list of Shame kwenye website ya chana chenu
Hahahhaa ni kwl kabisaIngekuwa yale mashindano ya "Olimpiki" kuna michuano ya rushwa nafikiri Tanzania tungeipeleka timu ya CCM, hakika tungerudi na medali ya dhahabu kila mwaka
Mtampuuza Lumumba!Mtoa taarifa umetoa taarifa yako kishamba na wew huna mamlaka ya kuzungumzia taarifa iliyopo ktk taasisi Fulani bila kibali nyie ndio mkikamatwa ili mtoe ushahid mnaanza kuhaha kutafuta Huduma ya wadau kifupi taarifa yako ni umbea kama umbea mwingine na tutakupuuza
Ni vigumu sana kwa ccm kushinda nafasi yyte ndani ya chama bila kutoa rushwa. Narudia tena kusema ni vigumu sana kushinda uchaguzi ndani ya ccm bila kutoa rushwa.
Huo ufisadi aliufanya akiwa chama gani???Kilimchukulia hatua gani???Baba la ufisadi na mwalimu mkuu wa ufisadi yuko Chadema