Mchaka mchaka mpaka Ikulu Musoma mjini

Mchaka mchaka mpaka Ikulu Musoma mjini

natamani kamanda mawazo alphonce mbunge mtarajiwa wa jimbo la busanda
aunganane na akina lembeli wapige kazi ya toroka ujeeeeeee!!!!!!
Kaazi ndiyo imeanzaaaaaaaa!!! Mabadilikoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!
 
Wapige kampeni mpaka vijijin na kutoa elimu ya kutosha umuhimu wa kupiga kura na jinsi ya kumchagua wamtakaye
 
Ahsante wana tanga

Kuna mheshimiwa "aliwazalau" sana wajomba zangu akidai kuwa UKAWA hawakuwa na haja ya kufanya kampeni mkoa ule. Nikamwambia, kumi huanza moja.

Naamini jana amepata majibu maana WanaTanga wametoa mtihani kwa FISI WENU bila notes.
 
Kuna mheshimiwa "aliwazalau" sana wajomba zangu akidai kuwa UKAWA hawakuwa na haja ya kufanya kampeni mkoa ule. Nikamwambia, kumi huanza moja.

Naamini jana amepata majibu maana WanaTanga wametoa mtihani kwa FISI WENU bila notes.

Ni mimi aisee. Lakini siamini mpaka nione ya kilindi na Handeni maana nimefika kule enzi zile hakukuwa na rangi ya chama kingine.
 
Waambie pia wakubali kuachia kwa CUF majimbo ambayo Chadema hawakubaliki vinginevyo watapigwa mapema kama watawatumia wagombea dhaifu waliotumika na CCM kama Itilima
 
Wananchi wameelewa vyema dhana ya mabadiliko!
Wanasubiri kumchinja mkoloni mweusi!
 
2015 Mchaka mchaka mpaka Ikulu leo mchana CHADEMA Team ya Anga kanda ya ziwa ukiongozwa na Kamanda Vincent Nyerere mgombea ubunge jimbo la Musoma Mjini akiongozana na wageni wengine watatuwa na Helicopter katika viwanja vya shule ya msingi Kigera. Hii ni moja wapo ya kampeni kanda ya ziwa Futa CCM wawe wapinzani 2015.

Tafuta kura Piga kura Linda kura goli la mkono mwisho bafuni.

Push up Tanga walijibu Jana.
attachment.php

😀😀 safi sana lowassa...ni mabadiliko
 
Taarifa zilizopo ni kwamba Vincent Nyerere hapo Musoma mjini ni maji ya shingo. Hajafanya la maana kwa miaka 5 iliyopita. Ni sawa na Kiwia Ilemela Mwanza anaangukia pua kwenye uchaguzi huu.
 
Mungu awafunike kwa mbawa sake makamanda; mkamilishe zoezi la ukombozi kwa usalama
 
Back
Top Bottom