Voice of Mara
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 358
- 127
2015 Mchaka mchaka mpaka Ikulu leo mchana CHADEMA Team ya Anga kanda ya ziwa ukiongozwa na Kamanda Vincent Nyerere mgombea ubunge jimbo la Musoma Mjini akiongozana na wageni wengine watatuwa na Helicopter katika viwanja vya shule ya msingi Kigera. Hii ni moja wapo ya kampeni kanda ya ziwa Futa CCM wawe wapinzani 2015.
Tafuta kura Piga kura Linda kura goli la mkono mwisho bafuni.
Push up Tanga walijibu Jana.
Tafuta kura Piga kura Linda kura goli la mkono mwisho bafuni.
Push up Tanga walijibu Jana.