TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Mchaga kapata ajali mbaya ya gari na kuzinduka akiwa hospitalini. Mahojiano kati yake na Nesi:-
Mchaga; kwanini nipo hospitali?
Nesi; Pole sana ni kwamba ulipata ajali mbaya sana ukiwa na gari yako.
Mchaga; Nini? PRADO yangu? Imegongwa!
Nesi; pole sana. Hata hivyo mkono wako wa kushoto umekatika.
Mchaga: Saa yangu imepotea?
Nesi; Usijali kwani familia yako ipo hapa kukufariji.
Mchaga; Yesu ruwa! Mama manka yaani mmefunga lile duka mkaja huku wote!.
Mchaga; kwanini nipo hospitali?
Nesi; Pole sana ni kwamba ulipata ajali mbaya sana ukiwa na gari yako.
Mchaga; Nini? PRADO yangu? Imegongwa!
Nesi; pole sana. Hata hivyo mkono wako wa kushoto umekatika.
Mchaga: Saa yangu imepotea?
Nesi; Usijali kwani familia yako ipo hapa kukufariji.
Mchaga; Yesu ruwa! Mama manka yaani mmefunga lile duka mkaja huku wote!.