sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Mchaga mmoja alidondoka kisimani,akapiga kelele huku akiwa anatapatapa,mkewe akaja na kamba mpya akamrushia iliamvute,mume akamuuliza umenunua shs ngapi hiyo kamba?Mke akajibu buku(1000),akamwambia irudishe sasa hivi nenda kwa mangi anauza jero tu(500) fanya fasta ntazama!!!!!
sasa inakuaje mke anarudi kununua kamba anakuta jamaaa amekufa?safi sana kwa kubadili..
mambo ya pesa hayo....Hii kali...
Kweli kabisa,labda hakuiona.Naisoma mara ya 7 hii leo inachekesha lkn
marudio ya wanaumeMchaga mmoja alidondoka kisimani,akapiga kelele huku akiwa anatapatapa,mkewe akaja na kamba mpya akamrushia iliamvute,mume akamuuliza umenunua shs ngapi hiyo kamba?Mke akajibu buku(1000),akamwambia irudishe sasa hivi nenda kwa mangi anauza jero tu(500) fanya fasta ntazama!!!!!
Mchaga mmoja alidondoka kisimani,akapiga kelele huku akiwa anatapatapa,mkewe akaja na kamba mpya akamrushia iliamvute,mume akamuuliza umenunua shs ngapi hiyo kamba?Mke akajibu buku(1000),akamwambia irudishe sasa hivi nenda kwa mangi anauza jero tu(500) fanya fasta ntazama!!!!!