ng'wanankamba
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 345
- 118
Mchaga mmoja alidondokea kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa, mkewe akaja na kamba mpya akamrushia. Mumewe akauliza; "Umenunua shilingi ngapi?" Mke akamjibu " Buku" akamwabia irudishe, nenda kwa Massawe anauza jero. Fanya fasta nitazama.