Mchaga na pesa

ng'wanankamba

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
345
118
Mchaga mmoja alidondokea kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa, mkewe akaja na kamba mpya akamrushia. Mumewe akauliza; "Umenunua shilingi ngapi?" Mke akamjibu " Buku" akamwabia irudishe, nenda kwa Massawe anauza jero. Fanya fasta nitazama.
 
Mchaga mmoja alidondokea kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa, mkewe akaja na kamba mpya akamrushia. Mumewe akauliza; "Umenunua shilingi ngapi?" Mke akamjibu " Buku" akamwabia irudishe, nenda kwa Massawe anauza jero. Fanya fasta nitazama.[/QUOTE

Ngoja wenyewe waje.
 
ugomvi mwingine mnaanzisha hauna hata maana, hebu tuheshimiane tuache kuzarauriana makabila.
 
Ndo mana mi nikituma kitu dukani naelekeza pa kununua kabisa. Kwj mrombo au kwa Tarimo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom