ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,057
- 973
Wewe,funguka macho,hakuna kabila lisilo na ushirikina hapa bongo.Huo ni uongo mtakatifu Kamwe hiyo haiwezi kutokea wala kufanywa na Wachagga, hiyo ni kwa watu wa Tanga au Sumbawanga.
Hakuna mchagga anayeweza kufanya hayo mambo.