MchALIPHONCE TEMBA NI MPIGA DEBE WA CCM NA ALITIMULIWA UDSM BAADA YA KUPINGA MABADILIKO YA KATIBA NA KUPINGA MAANDAMANO YA CDM UKIMBI WA NKURUMA MWAKA HUU. Temba Ndiye alikuwa mpiga Debe wa Kikwete na aliitwa Dododoma na Yusuma Makamba akamkabidh Jk bible na kumuhakikishia ushindi kabla hajachakachua kura.Baadaye aliungana na Mch Rwakatare na kusema Jk chaguo la Mungu.Mch Tembe ndiye aliyehamasisha watu kuiunga na Deci na ni mpiga debe wa Babu loliöndo