Mch. Peter Msigwa (Mb), atukana

Status
Not open for further replies.

asante mkuu,hapo ngoma inogire.hawa magamba sijui wamelaaniwa
 
Sasa tusi liko wapi hapo? Au ni macho yangu? Mkuu tafuta hoja nyingine tuchangie! Au ni hilo neno "period" ndio limekupa shida? Kachukue dictionary itakusaidia lakini pia upate maana kwa muktadha wake!
 

We mjusi tuonyeshe tusi hapo
 
Hk kizee kivivu cha kufikir.afu nan kakfundsha kuingia JF mana wenzake wanasklza viredio
 
Alibaka Huyo kanisani sisi ishu yake tunaimezea
 

Kama uzee ndio huu mi sizeeki kamwe!
mzee gani hujui la kuongea?
 
roho yangu huwa inachefuka sana ninaposikia msigwa anaitwa mchungaji
 
Kama uzee ndio huu mi sizeeki kamwe!
mzee gani hujui la kuongea?
tatizo lenu nyie hamtaki kuona au kukubali makosa kwa watu mnaowapenda ndio maana akina babu wanafanya wapendayo mnawatetea
 
Last edited by a moderator:
Huyu ni mchungaji wa mbuzi au nguruwe.

Anachunga watu (Kondoo wa Bwana) madhabahuni, anachunga mbuzi ktk shamba lake na Anachunga Nguruwe akiwa Bungeni akiwa na wana CDM wengine.
 
labda nyuma ya laptop yangu lakini kwa huku mbele sijaliona hata tusi la mwilini achiliambali la nguoni.....hapa sasa ndipo utakapoona matatizo ya watanzania hivi huyu mwenzetu kabla ya kuandika haya alitumia nini kufikiri?

Ndiyo maana toka jana nilikuwa na uvivu kuingia kusoma huu upuuzi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…