nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
Vile vile ripoti ya polisi inasema hakuvaa mkanda...Mtikila alivunjika 8 Ribs na alipata internal breeding na kusababisha damu kuingia kwenye njia ya hewa na kusababisha kifo chake mimi ni moja ya madaktari tuliokagua mwili wa rev. Mtikila ila alikua hana injuries zozote na tulivyoona kulikua hakuna mkono/mguu/kisigino wala korodani la mtu cause kama mkono wa mtu ni kuwa alikua assassinated but the deceased body passed all tests including gunshot, and whether he was hanged but he passed all test. Ninaomba uni pm number yako unipe your thoughts .