Mbwana Samatta kumuona Lissu?

Mbwana Samatta kumuona Lissu?

Mtafanya asiende hata kama alikuwa na nia ya kwenda kutokana na kufanya Siasa hata pasipohusika!
 
Tundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).

Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?

Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?

Wacha tusubiri.


Huu sasa ni upuuzi, yeye Lissu kaenda kule kutafuta kick, Samatta yuko kule kikazi na si kisiasa. Mimi kama Samatta wala siendi kumtembelea Lissu hata akiniita nitakataa kwa sababu Lissu ni msaliti anayeuza nchi yetu kwa manufaa yake binafsi, hamjali Samatta wala Mtanzania yeyote bali yeye mwenyewe. Alikuwa anawapigia debe jamaa wa migodi waishitaki serikali ya Tanzania ili naye (Lissu) apate mabilioni yake, jamaa wa migodi wakanywea baada ya kupewa data zote walizonazo serikali na kukubali kuilipa serikali Lissu akakasirika na kuja na hoja zingine za kijinga. Achana naye akatafute kick za kipuuzi huko Ulaya.
 
Back
Top Bottom