FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,193
- Thread starter
- #81
Acha ujinga wewe, kusema namuunga mkono Muislam mwenzangu ndiyo udini?Acha ujinga, utamuharibia, udini peleka msikitini tuachie mchezo wetu, ndo burudani yetu hii sisi, sasa unapoingiza haya udini wenu mtatuchafulia mchezo wetu pendwa. Kaka pembeni dada plz,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mkisikia neno, Muislam au Uislam basi mnawehuka sijuwi mna mapepo ya asili ndiyo maana mnauogopa Uislam?