mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 543
- 1,834
Niwazi ligi ya uingereza ni mziki mnene na maji marefu Kwa mtanzania mwenzetu Mbwana samatta maana Hadi sasa Kwa kiwango anachoendelea kuonyesha pale villa park Hana tofauti na mchezaji kutoka utopoloni YIKPE !!
Ushauri samatta aombe kwenda kucheza Kwa mkopo katika ligi kama za uturuki ,ugiriki ,ufaransa na hata ureno maana huko nahisi kabisa atarudisha makali yake.
Lakini mpaka sasa ujio WA samatta katika EPL hauna tofauti na ujio wa YIKPE ndani ya UTOPOLO.
Ushauri samatta aombe kwenda kucheza Kwa mkopo katika ligi kama za uturuki ,ugiriki ,ufaransa na hata ureno maana huko nahisi kabisa atarudisha makali yake.
Lakini mpaka sasa ujio WA samatta katika EPL hauna tofauti na ujio wa YIKPE ndani ya UTOPOLO.