Kuna bondia juzi alikwenda kupigana huko ulaya lakini alipokwenda wizarani alijibiwa hakuna fedha,huyo ni mmoja lakini wanamichezo wote wakiomba hata elfu kumi tu utajibiwa hakuna,wenzetu huko Kenya kila weekend unasikia wanavunja rekodi ya riadha,netball,volleyball,rugb,kuruka nk.Leo hii kwa mfano maeneo ambayo yalitakiwa kujengwa viwanja vya michezo wamepewa magabachori wajenge fremu za nguo,hebu nikuambie huko mikoani na mjini vijana wanacheza ngumi au karate lakini ukikutwa unakamatwa na kuwekwa ndani kwamba wewe ni kibaka wa baadae lakini wakisikia unakwenda kupigana marekani wanashangilia kwa mapambio ya chama lakini wamesahau ulikuwa unafanya mazoezi kuanzia tandika,ubungo,hadi mbuzi,samata anatamani vijana wengi waende mbele lakini je serikali imeweka mazingira?Hayo ndio mafigisu ya nchi hii yaani inasema vijana mjiajiri lakini hakuna mazingira ya kujiajiri.Mchana mwema