ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Akiwa mzaliwa mkazi wa Wilaya ya Temeke Mbagala Mbwana amepigana mwenyewe kwa Juhudi zake binafsi mpaka kufika hapo alipo.hii ni changamoto kwetu watanzania na hasa serikali kupitia wizara ya michezo kuibua vipaji ambavyo ni wazi vipo vingi vilivyojificha Tanzania bara na Zanzibar
Ninawaza tu serikali ingepanga bajeti kubwa ya kutosha ingejenga academy ya kukuza vipaji ambapo kijengwe kituo kikubwa sana hata pale Dodoma pawepo na Shule kuanzia Primary hadi Secondary..walimu wa masomo ya kawaida wawepo wengi wakutosha pamoja na wataalam,wakufunzi wa soka wazawa na wageni toka nchi zilizoendelea waje kufundisha michezo mbalimbali tukianza na soka,riadha,kuogelea nk.Viwanja na vifaa viwepo vya kutosha,then nchi nzima Serikali iwe na utaratibu wa Talent search tuwakusanye watoto wa kuanzia miaka mitano wenye vipaji mbalimbali vya michezo na kuwalea kuwafunza na kuwaendeleza ni wazi tukipata wakufunzi toka nje wakikaa na watoto hawa ndani ya miaka 10,15 tayari tutayaona mafanikio yake kuliko ilivyo sasa ambapo mchezaji akiibuka basi iwe bahati tu
Mwisho tumpongeze Samata kwa jinsi ambavyo anatuwakilisha kama nchi,hakika anaweza na jana Lile goli aliwafunga Liverpool japo lilikataliwa pia aliwafunga fc Napoli.....kwa kuweza kuongoza ligi ya belgium kwa ufungaji,kuweza kucheza fainali kubwa kabisa za ulaya na kufunga magoli ni zawadi na kielelezo tosha kuwa Tanzania tuna Vipaji vingi ambavyo vinahitaji kuibuliwa
Hongera Mbwana Samata.
Ninawaza tu serikali ingepanga bajeti kubwa ya kutosha ingejenga academy ya kukuza vipaji ambapo kijengwe kituo kikubwa sana hata pale Dodoma pawepo na Shule kuanzia Primary hadi Secondary..walimu wa masomo ya kawaida wawepo wengi wakutosha pamoja na wataalam,wakufunzi wa soka wazawa na wageni toka nchi zilizoendelea waje kufundisha michezo mbalimbali tukianza na soka,riadha,kuogelea nk.Viwanja na vifaa viwepo vya kutosha,then nchi nzima Serikali iwe na utaratibu wa Talent search tuwakusanye watoto wa kuanzia miaka mitano wenye vipaji mbalimbali vya michezo na kuwalea kuwafunza na kuwaendeleza ni wazi tukipata wakufunzi toka nje wakikaa na watoto hawa ndani ya miaka 10,15 tayari tutayaona mafanikio yake kuliko ilivyo sasa ambapo mchezaji akiibuka basi iwe bahati tu
Mwisho tumpongeze Samata kwa jinsi ambavyo anatuwakilisha kama nchi,hakika anaweza na jana Lile goli aliwafunga Liverpool japo lilikataliwa pia aliwafunga fc Napoli.....kwa kuweza kuongoza ligi ya belgium kwa ufungaji,kuweza kucheza fainali kubwa kabisa za ulaya na kufunga magoli ni zawadi na kielelezo tosha kuwa Tanzania tuna Vipaji vingi ambavyo vinahitaji kuibuliwa
Hongera Mbwana Samata.