Mbwa wa Polisi anauzwa!!

Mbwa wa Polisi anauzwa!!

Ukimpa maelekezo fulani plus kumtambulisha Wageni then haumi,akiona mtu asiemjua huwa anaanza kubweka na kumzuia huyo mtu let say anataka kuingia ndani basi atamfuata alipo na kuanza kubweka huku kaziba njia,kadri mtu anavyozidi kusogea ndio huongeza ukali na endapo huyo mtu mgeni atalazisha kupita au kuchukua kitu then anaweza kung'atwa!! Atapunguza ukali baada ya mwenyeji kutokea ila hatoacha kubwaka mpaka akatazwe na mwenyeji wake

Naweza mpata huyo Mi nipo Morogoro kama vipi nimfuate au ameshachukuliwa?
 
Hama nae.......au hana uzoefu wa kupanda magari.......?
 
Hama nae.......au hana uzoefu wa kupanda magari.......?

Preta bwana,huyu sio kama wale wa unga limited mamaa!!! Ningekuwa na tusenti angepanda flight ila basi itakuwa lawama na mashitaka!!
 
ina maana bado hujafika kwako ili uweke picha...
lol mkuu au umeshamuuza?
 
:llama: picha hiyo hapo maana mwenye mbwa amekataa kuweka picha
 
Mkuu Preta anatoka lile jiji linaloongoza kuwa na mabilionea Tz ambao wanaongoza kufa,Arusha!!!!

Yah......na umbwa zetu huwa tunazipokea Arusha airport mara nyingi.....na huwa hawaji kutokea Namtumbo.......wewe unahamia wapi....?
 
Sasa huyu ni wangu nikiwa nae katika viunga vya mitaa ya Yaeda......nilitoka nae Mongolia..........
ImageUploadedByJamiiForums1391871573.531589.jpg
 
kaka njoo nae basi nitamchukua moro mi nahishi moro...........

Mkuu kashapatikana mdau kamchukua,nashukuru kapata mtu ambae Mbwa anachukulia kama family yake!!
 
Back
Top Bottom