Mbwa wa Polisi anauzwa!!

Mbwa wa Polisi anauzwa!!

Looh!!! Mbwa wa polisi??? Nimeingia kwa kasi kuja kuona kana kwamba ufisadi umeamia mpaka kwa mapolisi wa kikosi cha mbwa.
 
nimeku pm namba yangu kama uko whatsapp nitumie picha huko
 
Mkuu kama unataka kwa ajili ya kitoweo hata uje na million sikuuzii kwani huyu ni kama rafiki sana siwezi mpa mtu anaeenda kumtesa,katafute mbwa koko tandale,lol!!

Ahhhaa mbwa mbwa tu hizo kashifa unaleta, watandale mbwa na wako mbwa wote kitoweo tu, et rafiki 😀😀😀😀😀 hicho kitoweooo.... sema bei ya kueleweka nimchukue serious.
 
Weka picha kama amekula reli (kukonda)tushushe bei
 
Mbwa/German mwenye umri wa miaka miwili na nusu namuuza kwa shs 100,000/=,amechomwa chanjo na sindano zote muhimu. Sababu ya kumuuza- nahama mkoa,napatikana Tabata-Dar

Kwani wewe ni nani ndani ya jeshi la police mpaka unauza mbwa wao?
 
Sasa mkuu kumiliki German Shepherd lazima uwe polisi??!! Au raia wa kawaida tunatakiwa kufuga mbwa koko tu??!!

dah aisee,bora hata umenielewesha coz niliposoma heading tu nikajua washafulia ndo maana wanauza mbwa,kumbe hiyo ni breed na sio mbwa wa polisi..
 
Looh!!! Mbwa wa polisi??? Nimeingia kwa kasi kuja kuona kana kwamba ufisadi umeamia mpaka kwa mapolisi wa kikosi cha mbwa.

Mna utani na geshi la polish,ngoja waseme mmepigwa na vitu vyenye ncha kali ambavyo hawajui nani anavirushaga!!
 
Ahhhaa mbwa mbwa tu hizo kashifa unaleta, watandale mbwa na wako mbwa wote kitoweo tu, et rafiki 😀😀😀😀😀 hicho kitoweooo.... sema bei ya kueleweka nimchukue serious.

Hahaha,mtoto mtoto tu ila mtoto wa uwanja wa fisi,hafanani na wa osterbay!!
 
hawezi kuniuma mimi mwenyewe

Ukimpa maelekezo fulani plus kumtambulisha Wageni then haumi,akiona mtu asiemjua huwa anaanza kubweka na kumzuia huyo mtu let say anataka kuingia ndani basi atamfuata alipo na kuanza kubweka huku kaziba njia,kadri mtu anavyozidi kusogea ndio huongeza ukali na endapo huyo mtu mgeni atalazisha kupita au kuchukua kitu then anaweza kung'atwa!! Atapunguza ukali baada ya mwenyeji kutokea ila hatoacha kubwaka mpaka akatazwe na mwenyeji wake
 
Bado hujafika home huweke picha tu kama inawezekan msakizie mtu afu record video tuone ufanisi wake..asije kuwa simba wa maonyesho anaunguruma huku ana smile.
 
Bado hujafika home huweke picha tu kama inawezekan msakizie mtu afu record video tuone ufanisi wake..asije kuwa simba wa maonyesho anaunguruma huku ana smile.

Kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la Hospital ya Mirembe ili tuhifadhi watu kama wewe wakati wa Mwezi mchanga! Ila Mwaya umenifurahisha sana Wazo lako. Karibu Togwa za Maisha Club.
 
Kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la Hospital ya Mirembe ili tuhifadhi watu kama wewe wakati wa Mwezi mchanga! Ila Mwaya umenifurahisha sana Wazo lako. Karibu Togwa za Maisha Club.

Mm nipo kwa mam muuza hapa napata savanna...huh..
 
Bado hujafika home huweke picha tu kama inawezekan msakizie mtu afu record video tuone ufanisi wake..asije kuwa simba wa maonyesho anaunguruma huku ana smile.

Mkuu utakua kilauli zimekolea sana,kesho asubuhi utaziona picha,usiingie jf kama una mning'inio!!
 
Mkuu utakua kilauli zimekolea sana,kesho asubuhi utaziona picha,usiingie jf kama una mning'inio!!

Ndo mana nataka uhakika wa huyo dog niwe naend nae kilabun..siunajua kuning'inia..
 
Kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la Hospital ya Mirembe ili tuhifadhi watu kama wewe wakati wa Mwezi mchanga! Ila Mwaya umenifurahisha sana Wazo lako. Karibu Togwa za Maisha Club.

Haya Salome endelea kutogweka kwani wkend safi,na hali ya hewa safi,Maishika li-club balabala kwani hamna wa kumwaga togwa yako!!
 
Ndo mana nataka uhakika wa huyo dog niwe naend nae kilabun..siunajua kuning'inia..

Ah mkuu wewe kwenye wanunuzi jitoe,maana natilia shaka usalama wa mfugo,unaweza ukasababisha tafrani kwa kutaka kumchinja ukizani mbuzi ili umle supu halafu Mbwa akafanya self defence,ikawa kesi!!! Si unajua hawa Mbwa pia hawapatani na harufu ya chimpumu??!! (Kiding))))
 
Tulia baba najiamin!!! Huyu namwandaa saikolojikaly..atakuwa anapenda kwenda n ndo atakuwa anenifat mda ukifika..n ulisema unawez kumtrain?? Ataelew tu master wake anapend pingu..
 
Back
Top Bottom