Mbwa wa Polisi anauzwa!!

Mbwa wa Polisi anauzwa!!

MoPlan

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2011
Posts
907
Reaction score
661
Mbwa/German mwenye umri wa miaka miwili na nusu namuuza kwa shs 100,000/=,amechomwa chanjo na sindano zote muhimu. Sababu ya kumuuza- nahama mkoa,napatikana Tabata-Dar

Updates;

Mbwa ameshachukulia tayari,asanteni na mbarikiwe!!
 
Mbwa/German mwenye umri wa miaka miwili na nusu namuuza kwa shs 100,000/=,amechomwa chanjo na sindano zote muhimu. Sababu ya kumuuza- nahama mkoa,napatikana Tabata-Dar
Ww ni polisi?
 
Mbwa/German mwenye umri wa miaka miwili na nusu namuuza kwa shs 100,000/=,amechomwa chanjo na sindano zote muhimu. Sababu ya kumuuza- nahama mkoa,napatikana Tabata-Dar

ina maana polisi wamefulia kiasi hicho hadi wanauza mbwa?
 
picha tafadhali tuone afya.....
 
ina maana polisi wamefulia kiasi hicho hadi wanauza mbwa?


Sasa mkuu kumiliki German Shepherd lazima uwe polisi??!! Au raia wa kawaida tunatakiwa kufuga mbwa koko tu??!!
 
Sasa mkuu kumiliki German Shepherd lazima uwe polisi??!! Au raia wa kawaida tunatakiwa kufuga mbwa koko tu??!!

Kosa lako umeandika mbwa wa polisi ungeandika German Shepherd ingetosha kutambulisha mbwa unayemuuza. Haya weka picha
 
Aisee Namtaka harakaaa
Pls PM Details ntakavyokupata.... Kesho Nimfate.
 
Mkuu kule kurasini chuo cha Mbwa wanauzwa laki tatu na nusu,mimi namtoa kwa kuwa nahamia mkoani vinginevyo nisingemtoa

Mie simuitaji kwa ajili ya kumfuga au ulinzi, kunjua roho nichukue kitoweo hicho nikumbukie nyumbani kwanza anafika kilo ngapi? 😛
 
Mie simuitaji kwa ajili ya kumfuga au ulinzi, kunjua roho nichukue kitoweo hicho nikumbukie nyumbani kwanza anafika kilo ngapi? 😛

Mkuu kama unataka kwa ajili ya kitoweo hata uje na million sikuuzii kwani huyu ni kama rafiki sana siwezi mpa mtu anaeenda kumtesa,katafute mbwa koko tandale,lol!!
 
Nami ni PM with details kama bado yupo tuongee vizuri
 
Back
Top Bottom