gilbsonassan
Member
- Jul 2, 2015
- 56
- 9
Mimi nina mbwa wang ndoo amezaa mara yake ya kwanza sasa sema hataki kuwanyonyesha watoto wake anawalalia tu amezaa vitoto saba kala kimoja kingine kimekufa ...naombeni msaada wenu ili mbwa wangu awanyonyeshe watoto wake wasife
duuh wazuri hivi wape tu maziwa mwenyewe hakuna namna
Wape hao watoto maziwa yeye mpe chakula chakutoshakila siku nampa maziwa lita mbili lkn hataki kunyonyesha hali alikula kimoja ambacho kilikuwa kinaulemavu alivyokizaa mjombaa
hamu ya nini wakti ndoo kwanza amezaa..huyo mwenye mistari machoni ndoo jike amezaamletee dume moja apigwe nao atanyonyesha mwenyew.bado ham haijamuisha
labda hataki kuharibu maziwa yake . anataka kuwa kijana bado maziwa saa sita.hataki kuharibu shape akose bwana kisa kuzaahamu ya nini wakti ndoo kwanza amezaa..huyo mwenye mistari machoni ndoo jike amezaa
mpe nyama za kutosha maziwa ya nini?kila siku nampa maziwa lita mbili lkn hataki kunyonyesha hali alikula kimoja ambacho kilikuwa kinaulemavu alivyokizaa mjombaa
maziwa na wapa watoto kwa njia mbadalampe nyama za kutosha maziwa ya nini?
nampa chakula kila saa lkn still badoo hanyonyeshimpe nyama za kutosha maziwa ya nini?
yaan kazaa tu alivyomaliza tu amewalalia watoto hata hawanyonyeshi mpka nimewapora watoto hao kwakemkuu mi nahsi labda hao watoto wake wanamng'ata mama yao kipindi cha kuwanyonyesha that's anaogopa kuwanyonyeshaa
ukiona imeshindikana tafuta ile ya kunyonyeshea watoto utumie kuweka maziwa then uwape
lakin hali watoto ndoo uzuri wakemkuu mi nahsi labda hao watoto wake wanamng'ata mama yao kipindi cha kuwanyonyesha that's anaogopa kuwanyonyeshaa
ukiona imeshindikana tafuta ile ya kunyonyeshea watoto utumie kuweka maziwa then uwape
hataki matiti yake yaharibike bnaWape hao watoto maziwa yeye mpe chakula chakutosha
ananiudhi kwl yaanhataki matiti yake yaharibike bna
ahahaa wanawake wenyewe hawanyonyeshi siku hizi kaka.kizazi cha mwendokasi matiti yanaharibika yanakuwa lapaananiudhi kwl yaan