Mbwa anauzwa

Mbwa anauzwa

Jephta2003

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2008
Posts
6,721
Reaction score
6,592
Napatikana Kibamba Dar, mbwa aliyeko kwenye picha anauzwa, ana miezi 8,ameshapata chanjo zote, call me/wasap 0713228915
ab8a2bdfadf5cdbc937350f20576d34d.jpg
3a4a5039f003be890e1817de94be9196.jpg
bdfcfaa11ba70b45c94151ffd215ee64.jpg
 
Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua?
 
Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua?
Invitation to treat huwa haiitaji sana vitu hivyo, waweza kuvitaja wewe na kumshawishi yeye kukubaliana navyo.
 
Mkuu tafadhali ni mbwa specie gani huyo? Na bei yake shingapi? Ili kama mtu anakuja anakuja moja kwa moja akijua details muhimu. Am interested.. Weka details
 
Back
Top Bottom