AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
Hapa ni mbuzi kafia kwa muuza supu...
Hivi uliwahi kukutana na challenge ya kuwakosea au kuwakera wanajeshi...au ukaingia kambi yao kimakosa...?
Nikupe tu Hint...
Endapo ukaingia kimakosa kambi ya jeshi alafu wakakuona wakakuita alafu ukajifanya unakimbia...watakuua simama tu nenda wasikilize umalizane nao...wale kesi zao hazifikagi mbali...
Mimi nilikuwa natoka harakati zangu za maisha maeneo ya tegeta...nikashuka mwenge nitafute magari ya kuelekea maeneo ya kimara(maeneo ya home)...nikawa nimeshuka kwenye foleni mbele ya lile daraja jipya...
Nikasema hebu nivukie hapa hapa niende upande wa pili...sikuwa najua kama hawaruhusu kukanyaga ile bustan yao pale...mimi nikapita tu bila wasiwasi...
Nilivyofika upande wa pili kuna jamaa alikuwa kavaa kiraia kwenye vile viti vya bar vinavyotengenezwa pale mwenge...akanambia wewe unaenda wapi...nikamwambia nawahi hapo masjid mara moja kuswali...nimechelewa sana...(nikashtuka haraka hapa bado nipo lugalo barrack, nikasema nisijifanye mjuaji kuwa tu mpole)...jamaa alivyosikia msikitini...akafikiriaaaaa...akanambia kwanini umekatiza pale...? Nikamwambia nilikuwa sijui...ila mimi nimeshuka kwenye foleni niwahi swala...AKANAMBIA HAYA NENDA KASWALI...ILA USIRUDIE TENA KUPITA HAPA...
Nikasema alhamdulillah...la sivyo ningeongezewa shift ya jioni pale jeshini...
Hebu eleza yako...
Hivi uliwahi kukutana na challenge ya kuwakosea au kuwakera wanajeshi...au ukaingia kambi yao kimakosa...?
Nikupe tu Hint...
Endapo ukaingia kimakosa kambi ya jeshi alafu wakakuona wakakuita alafu ukajifanya unakimbia...watakuua simama tu nenda wasikilize umalizane nao...wale kesi zao hazifikagi mbali...
Mimi nilikuwa natoka harakati zangu za maisha maeneo ya tegeta...nikashuka mwenge nitafute magari ya kuelekea maeneo ya kimara(maeneo ya home)...nikawa nimeshuka kwenye foleni mbele ya lile daraja jipya...
Nikasema hebu nivukie hapa hapa niende upande wa pili...sikuwa najua kama hawaruhusu kukanyaga ile bustan yao pale...mimi nikapita tu bila wasiwasi...
Nilivyofika upande wa pili kuna jamaa alikuwa kavaa kiraia kwenye vile viti vya bar vinavyotengenezwa pale mwenge...akanambia wewe unaenda wapi...nikamwambia nawahi hapo masjid mara moja kuswali...nimechelewa sana...(nikashtuka haraka hapa bado nipo lugalo barrack, nikasema nisijifanye mjuaji kuwa tu mpole)...jamaa alivyosikia msikitini...akafikiriaaaaa...akanambia kwanini umekatiza pale...? Nikamwambia nilikuwa sijui...ila mimi nimeshuka kwenye foleni niwahi swala...AKANAMBIA HAYA NENDA KASWALI...ILA USIRUDIE TENA KUPITA HAPA...
Nikasema alhamdulillah...la sivyo ningeongezewa shift ya jioni pale jeshini...
Hebu eleza yako...