Mbuzi azaliwa na sura ya binadamu

Madikizela

JF-Expert Member
Jul 4, 2009
675
439
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mbuzi mmoja wilayani hapa amezaa kiumbe cha ajabu chenye sura ya binadamu.

Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi usiku katika Kijiji cha Isongole, wakati mbuzi huyo pamoja na mifugo mingine ikirejeshwa nyumbani na mchungaji aliyejulikana kwa jina la Safari Simbeye (16).

Akizungumzia tukio hilo, Safari alisema kuwa alikuwa akiirejesha mifugo hiyo nyumbani na
kwamba akiwa anakaribia kufika nyumbani mbuzi huyo alipata uchungu na kujifungua kiumbe
hicho cha ajabu, “nilikibeba na kukipeleka ndani na kisha kwenda kumuita baba,” alisema na
kuongeza kuwa kilikufa muda mfupi baada ya kuzaliwa.

Alisema kuwa wakati anakwenda kumuita baba yake, baadhi ya watu waliokiona kiumbe hicho walianza kukusanyika kwa wingi kwa lengo la kwenda kushuhudia kiumbe hicho cha ajabu kilichozaliwa, ambapo Mzee Daniel Simbeye aliwazuia wananchi wasiingie nyumbani kwake kwa hofu kuwa wangeanzisha vurugu.

Mwenyekiti wa Kitongoji, Mwimika Fumbo alisema kutokana na vurugu kuongezeka huku watu wakishinikiza wakione kiumbe hicho, walikitoa nje na kushuhudiwa na mamia ya watu waliokuwa wamejazana katika eneo hilo.

Alisema baada ya kuona kuwa kuna dalili ya vurugu walitoa taarifa polisi ambao waliwasili
katika eneo hilo wakiwa na gari lenye namba za usajili PT 0657 Toyota Landcruiser na kuondoka na kiumbe hicho cha ajabu.

Source: HABARI LEO
 
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mbuzi mmoja wilayani hapa amezaa kiumbe cha ajabu chenye sura ya binadamu.

Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi usiku katika Kijiji cha Isongole, wakati mbuzi huyo pamoja na mifugo mingine ikirejeshwa nyumbani na mchungaji aliyejulikana kwa jina la Safari Simbeye (16).

Akizungumzia tukio hilo, Safari alisema kuwa alikuwa akiirejesha mifugo hiyo nyumbani na
kwamba akiwa anakaribia kufika nyumbani mbuzi huyo alipata uchungu na kujifungua kiumbe
hicho cha ajabu, “nilikibeba na kukipeleka ndani na kisha kwenda kumuita baba,” alisema na
kuongeza kuwa kilikufa muda mfupi baada ya kuzaliwa.

Alisema kuwa wakati anakwenda kumuita baba yake, baadhi ya watu waliokiona kiumbe hicho walianza kukusanyika kwa wingi kwa lengo la kwenda kushuhudia kiumbe hicho cha ajabu kilichozaliwa, ambapo Mzee Daniel Simbeye aliwazuia wananchi wasiingie nyumbani kwake kwa hofu kuwa wangeanzisha vurugu.

Mwenyekiti wa Kitongoji, Mwimika Fumbo alisema kutokana na vurugu kuongezeka huku watu wakishinikiza wakione kiumbe hicho, walikitoa nje na kushuhudiwa na mamia ya watu waliokuwa wamejazana katika eneo hilo.

Alisema baada ya kuona kuwa kuna dalili ya vurugu walitoa taarifa polisi ambao waliwasili
katika eneo hilo wakiwa na gari lenye namba za usajili PT 0657 Toyota Landcruiser na kuondoka na kiumbe hicho cha ajabu.

Source: HABARI LEO
tunashukuru kwa taarifa. lakini ungeandika imetokea hapa nchini tungeelewa zaidi,au hapa duniani. but hapa wilayani?
 
tunashukuru kwa taarifa. lakini ungeandika imetokea hapa nchini tungeelewa zaidi,au hapa duniani. but hapa wilayani?

mi mwenyewe kanichanganya.......hebu mtoa mada tueleze ni mkoa gani na ni wilaya gani
 
ndugu yangu tusaidie kutujurisha wilaya na mkoa, mie nazifahamu isongole mbili, zote za mbeya yakwanza ni ile maarufu siku nyingi walikoungua waliokuwa wanachukuwa kama siyo kuiba mafuta na kuna kaburi la watu wengi waliounguwa na kutofahamika (kutambulika) kwakuwa waliunguwa vibaya ambayo ipo Rungwe na nyingine ipo ileje! sasa isongole ipi kulikotokea hayo?
 
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mbuzi mmoja wilayani hapa amezaa kiumbe cha ajabu chenye sura ya binadamu.

Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi usiku katika Kijiji cha Isongole, wakati mbuzi huyo pamoja na mifugo mingine ikirejeshwa nyumbani na mchungaji aliyejulikana kwa jina la Safari Simbeye (16).

Akizungumzia tukio hilo, Safari alisema kuwa alikuwa akiirejesha mifugo hiyo nyumbani na
kwamba akiwa anakaribia kufika nyumbani mbuzi huyo alipata uchungu na kujifungua kiumbe
hicho cha ajabu, "nilikibeba na kukipeleka ndani na kisha kwenda kumuita baba," alisema na
kuongeza kuwa kilikufa muda mfupi baada ya kuzaliwa.

Alisema kuwa wakati anakwenda kumuita baba yake, baadhi ya watu waliokiona kiumbe hicho walianza kukusanyika kwa wingi kwa lengo la kwenda kushuhudia kiumbe hicho cha ajabu kilichozaliwa, ambapo Mzee Daniel Simbeye aliwazuia wananchi wasiingie nyumbani kwake kwa hofu kuwa wangeanzisha vurugu.

Mwenyekiti wa Kitongoji, Mwimika Fumbo alisema kutokana na vurugu kuongezeka huku watu wakishinikiza wakione kiumbe hicho, walikitoa nje na kushuhudiwa na mamia ya watu waliokuwa wamejazana katika eneo hilo.

Alisema baada ya kuona kuwa kuna dalili ya vurugu walitoa taarifa polisi ambao waliwasili
katika eneo hilo wakiwa na gari lenye namba za usajili PT 0657 Toyota Landcruiser na kuondoka na kiumbe hicho cha ajabu.

Source: HABARI LEO
sasa wewe ndie ulelala na huyo mbusi mwenzako! weka picha tuone basi!
 
Makubwa haya, japo kuna daktari mmoja wa mifugo aliwashi kuniambia kuwa hata kama binadamu atafanya sex na mmanyama, siyo rahisi mnyama kupata ujauzito wa binadamu, sijui, wataalam mwayajua haya, tupeni yenu.
 
Haiwezekani Kabisa mbuzi kupata uja uzito wa mnyama mngine ao binadam. MAybe hako ka mbuzi kalizaliwa hakana manyoa usoni, ikapelekea watu kumfananisha na binadam? Ila hata kwa internet sijaona habari kama hii leo.
 
Asante kwa taarifa lakini tunakuomba utujuze ni wapi kituko kilipotokea?Naamini kupata picha hiyo sio rahisi kutokana na mazingira yenyewe yalipotokea!
 
Back
Top Bottom