Flynn walter
Member
- Apr 1, 2020
- 33
- 28
Kwanza ungesema uko wapi ili nikusaidie chimbo upate kwa bei ya chini.Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
Nipo Dar es salaam ntashukuru kwa hiloKwanza ungesema uko wapi ili nikusaidie chimbo upate kwa bei ya chini.
mix haina shidaUngeweka wazi mbuzi wa aina Gani? Nyama au maxima, zaa mapacha au kimoja?
Dar es salaam pale poster kweli utaweza kufuga mbuzi kweli?Nipo Dar es salaam ntashukuru kwa hilo
Nipo geita kijijini unataka mbuzi size gani? majika mangapi na mabeberu mangapi?Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
Hii ni bei ya ng'ombe au mbuzi?Wapo kuanzia laki 3 na nusu mpaka 3m
Halafu hii namba yako haipo Whattsapp.Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
WanaoZaa mapacha wanapatikana wapi na bei zikoje.Ungeweka wazi mbuzi wa aina Gani? Nyama au maxima, zaa mapacha au kimoja?
Mbuzi wanafungwa Lumumba mkuu,wanakula nyasi za kijani cha dsm kabisaaaDar es salaam pale poster kweli utaweza kufuga mbuzi kweli?
🤣 maziwaWanaoZaa mapacha wanapatikana wapi na bei zikoje.
Maxima ndio wana sifa gani?
MUBENDEHabari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
Huwa ni 70-100k Ina range hapoWanaoZaa mapacha wanapatikana wapi na bei zikoje.
Maxima ndio wana sifa gani?