Kuna Mh.Mkuchika akimtaka Mkosamali afute kauli yake ya kulikebehi jina la Mh.Rais wakati akijadili ofisi ya Rais.Mh. Mkosamali hakutaja jina la Mh.Kikwete kabisa,bali ametaja jina la Taasisi yaani Rais.Mwenyekiti akimtaka mkosomali afute lakini kwa hoja alizozitoa mkosamali mwenyekiti alishindwa.