GE2025 Mbunge wetu mtarajiwa Godfrey wa kawe

GE2025 Mbunge wetu mtarajiwa Godfrey wa kawe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mookiesbad98

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2015
Posts
3,572
Reaction score
4,826
Pongezi kwako mbunge mtarajiwa tunaomba barabara ziwekwe lami ila kwa kuanzia zichongwe na greda tunakufa na barabara mbovu sana . Wenzetu wote mitaa yao imechongwa hata salasala magengeni amahoro kumechongwa. Maeneo haya ya mbezibeach B hayachongwa kabisa tunashanga tatizo ni nini.

Mtafanya tuinyime kura ccm maana ni kama viongozi wetu akina gwajima walitutelekeza na Mutta rwakarate. Walikuwa wanafanya yao tuu sisi wananchi tunahitaji barabara zenye lami.
 
Unampongeza mtu ambaye hana hata uhakika wa asilimia 100 wa kwenda huko bungeni!
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Godfrey Timoth anaonekana kapiga picha na kizimkazi kwenye mabango ya kampeni jimbo la kawe. Huyu ujue ana baraka zote za Bi mkubwa

Jimbo gumu.sana hili maana kuna wababe na wasomi wengi wametupiliwa mbali akiwemo Furaha. Gwajima jr mme wake waziri dr Gwajima. Aliyekiwa anautaka uraisi wa TLS wakili Nkuba. N.k
 
Back
Top Bottom