Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Kyela tafuteni mtu mzuri wa CCM agombee Ubunge. Mwakyembe yupo yupo tu lakini Mh wala hamkubali.
Yupo sababu angalau awepo Waziri toka Jiji la Mbeya ila inafahamika kuwa jamaa hana lolote toka wizara zote alizokabidhiwa.
Kwa hivi sasa hii wizara ya yeye kupiga picha na akina wema sepetu na snura amewekwa tu ili kumlipa fadhila.wana Mbeya kwa ujumla chagueni Wabunge wenye akili wakafanye maendeleo kwa ajili ya jiji lenu.
Inafahamika kabisa katika korido zetu kuwa jamaa yupo yupo tu na bahati mbaya akili alishaziweka mfukoni amekuwa kama bwege.
Yupo sababu angalau awepo Waziri toka Jiji la Mbeya ila inafahamika kuwa jamaa hana lolote toka wizara zote alizokabidhiwa.
Kwa hivi sasa hii wizara ya yeye kupiga picha na akina wema sepetu na snura amewekwa tu ili kumlipa fadhila.wana Mbeya kwa ujumla chagueni Wabunge wenye akili wakafanye maendeleo kwa ajili ya jiji lenu.
Inafahamika kabisa katika korido zetu kuwa jamaa yupo yupo tu na bahati mbaya akili alishaziweka mfukoni amekuwa kama bwege.