mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Jimbo lako limekuwa likiongoza kwa ukatwaji umeme ghafla na ukirudi unarudi hovyo na kuunguza vitu vyetu.Kwa siku umeme unakatika hata mara 20 bila taarifa.
Fahamu sisi wana Songea ni masikini wenye saloon na mashine za wedding. Ukatwaji huu umeme unaleta hasira kwa TANESCO na hasira kwako mbunge wetu ambaye upo kimya na hujaonesha jitihada zozote kwa hilo.
Katika ziara ya Waziri Mkuu kama kawaida yenu mliufanya umeme kuwa wa uhakika na alipo ondoka mkaanza kukata hovyo hovyo. Songea mjini ipo hovyo ikilinganishwa na Mbinga kwa hali ilivyo ni bora TANESCO isiwepo tujue moja.
Fahamu sisi wana Songea ni masikini wenye saloon na mashine za wedding. Ukatwaji huu umeme unaleta hasira kwa TANESCO na hasira kwako mbunge wetu ambaye upo kimya na hujaonesha jitihada zozote kwa hilo.
Katika ziara ya Waziri Mkuu kama kawaida yenu mliufanya umeme kuwa wa uhakika na alipo ondoka mkaanza kukata hovyo hovyo. Songea mjini ipo hovyo ikilinganishwa na Mbinga kwa hali ilivyo ni bora TANESCO isiwepo tujue moja.