kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mijadala ya JF inasaidia kuibua majina mapya yaliyojificha ila watendaji makini natumaini Mawaziri walioteuliwa watatumbuliwa sana kama kipindi kilichopita, lakini pia yawezekana ukiweka taarifa za unavyomfahamu Mbunge wako labda jalada lake litasogea karibu na mfalme kwa maandilizi ya vetting na Kusubiri sub.
Kulingana na unavyomfahamu mbunge wako, je anafaa kuwa Waziri? Wazir wa nini? Au naibu waziri wa nini?
Mimi natoka kwa Mwanyika, anafaha kuwa Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge ajifunze na aongoze chini ya uangalizi...lakini pia naishi Kawe, mbunge wa sasa hafai kwa nafasi yoyote yakuongoza watu anafaa kuendelea kulihudumia kanisa.
Wewe huko kwako kuna mwanga?
Kulingana na unavyomfahamu mbunge wako, je anafaa kuwa Waziri? Wazir wa nini? Au naibu waziri wa nini?
Mimi natoka kwa Mwanyika, anafaha kuwa Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge ajifunze na aongoze chini ya uangalizi...lakini pia naishi Kawe, mbunge wa sasa hafai kwa nafasi yoyote yakuongoza watu anafaa kuendelea kulihudumia kanisa.
Wewe huko kwako kuna mwanga?