TANZIA Mbunge wa Viti Maalum, Halima Nasoor (CCM) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Viti Maalum, Halima Nasoor (CCM) afariki dunia

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,413
Reaction score
5,150
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Halima Idd Nassor, kilichotokea leo Jumapili tarehe 18 Januari, 2026 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.

"Kwa masikitiko makubwa, natangaza kifo cha Mbunge wa Viti Mheshimiwa Halima Idd Nassoro kilichotokea leo 18 Januari, 2026 Jijini Dar es Salaam. Natoa pole kwa Waheshimiwa Wabunge wote, familia ya Marehemu, ndugu, jamaa na marafiki, Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu," amesema Mheshimiwa Spika.

Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu inaratibu mipango ya mazishi na taarifa zaidi zitaendelea kutolewa. "Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un", Amina.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma Ofisi ya Bunge​
Dodoma​
18 Januari, 2026​
Hawa dunia.jpg

Waooo, tumpe nini Mungu kwa maana sifa na utukufu ni vyake..Humu tuuuuu!!!!
 
Waooo, tumpe nini Mungu kwa maana sifa na utukufu ni vyake..Humu tuuuuu!!!!
Ulivyo punguani unashangilia mtu KUFA!

We pia MWANGA, wazazi wako WANGA, ukoo Mzima mmejaa wachawi watupu ndo mana unakuja na SONONA zako hapa kushangilia vifo två watu usiowajua mjinga MWANGA wewe UMEKULA/LISHWA Damu / Nyama za watu KATUBU Mapema si tuko AHERA huku tunakusubiri mgeni Chumba umeandaliwa.

Sauti toka kuzimu
 
Waendeleee uwana tu mbunge wa pili uyu bado wa kigoma mjini zito akubali kabisa kuwa yeye si mbunge wa kigoma mjini
 
Back
Top Bottom